Imewekwa : August 22nd, 2025
Tume ya Utumishi wa Umma imefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru leo Agosti 22, 2025 kwa lengo la kufuatilia na kusimamia uendeshaji wa shughuli za rasilimali watu katika taasisi za umm...
Imewekwa : August 14th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mhe. Denis Masanja, amefanya kikao na watumishi wa idara ya afya ambapo amewataka kuwa wajibu, kujitolea, na kuwatumikia wananchi kwa uaminifu na weledi wa hali ya juu. Kika...
Imewekwa : August 12th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mhe.Denis Masanja ameendelea kuonesha nia ya kutatua na kuondoa migogoro iliyopo kati ya wakulima na wafugaji, na migongano baina ya binadamu na wanyama,leo tarehe 11.08.202...