Imewekwa : January 23rd, 2024
Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo Wilayani Tunduru, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Shule mpya,Majengo ya Tehama, Maktaba,Mabweni na Matundu ya Vyoo.
...
Imewekwa : January 18th, 2024
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalamu "Vibrio cholera".
Chukua tahadhali zote kujikinga na ugonjwa wa kipin...
Imewekwa : January 11th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mhe.Wakili.Julius S. Mtatiro ahimiza watoto kuandikishwa shuleni, abainisha kuwa elimu ni msingi wa mustakabali wa watoto na maendeleo ya jamii kwa ujumla.watoto wanaopata e...