• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Miradi Inayoendelea

Miradi ya Maendeleo Inayoendelea kutekelezwa katika mwaka wa fedha 2017/2018

SEKTA YA AFYA.

katika mwaka wa fedha 2017/2018 serikali inaendele na utekelezaji wa miradi mbalimbali katika sekta ya afya, ambayo ina michango ya  fedha kutoka katika vyanzo mbalimbali, ikiwa fedha zingine ni zile za miradi ya maendeleo kutoka serikali kuu, mchango wa mapato ya ndani (Own source), mfuko wa kuchochea maendeleo ya jimbo, na fedha kutoka kwa wahisani.

1.Ujenzi wa kituo cha Afya Mkasale, mradi huu ni upanuzi wa majengo katika kituo cha afya mkasale ambapo jumla ya miloni 400 zitatumika katika ujenzi wa Nyumba ya Mganga, Wodi ya mama na mtoto, Maabara, Chumba cha Upasuaji, chumba cha kuhifadhia maiti,kichomea taka na placenter Pit kwa ajili ya kutupa uchufu baada ya kinamama kujifungua.

1.JENGO LA MAABARA.

Ujenzi wa Jengo la Maabara katika Ukarabati unaoendelea katika kituo cha Afya cha Mkasale Wilayani Tunduru.

2.JENGO LA NYUMBA YA MGANGA.


Jengo la nyumba ya mganga linaloendelea kujengwa katika kituo  cha Afya Mkasale

3. JENGO LA MORTUARY 

Jengo la Mortuary kituo cha afya Mkasale ni miongoni mwa majengo ya yanaendelea kujengwa.

UJENZI WA WODI MBILI HOSPITALI YA WILAYA.

2. Ujenzi wa wodi hospitali ya Wilaya, katika hospitali ya wilaya halmashauri inaendelea na utekelezaji wa uboreshaji wa huduma za afya na kupitia mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2016/2017 serikali ilitenga shilingi milioni 150 kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya wanawake na wanaume ili kupata sehemu ya kupumzikia kwa wagonjwa wa upasuaji kwani hapo awali walikua wananchanganywa kwenye wodi za wagonjwa wa kawaida hali ambayo ni hatarishi kwa afya zao.


UJENZI WA KITUO CHA AFYA NAKAYAYA.

3.Ujenzi wa kitu cha Afya Nakayaya- mradi unafanyika kwa ushirikiano wa wadau wa maendeleo, mkuu wa wilaya na ofisi ya mkurugenzi mtandaji ili kuweza kupunguza changamoto ya mlundikano wa wagonjwa katika hospitali ya wilayakwani idadi ya wananchi wanaongezeka hivyo hospitali kulemewa.

Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya Nakayaya  ulianza mwaka 2016 kwa mchango ya wafanyabishara na wadau mbalimbali waliouguswa na mipango ya utekelezaji wa seriakali ya awamu ya Tano wa Kuboresha Huduma za Afya.


Ni baadhi ya majengo ya mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Nakayaya unaoendelea kutekelezwa, kwa mchango wa wadau mbalimbali kwa kushirikiana na serikali. 


UJENZI WA NYUMBA YA MGANGA -ZAHANATI YA NAIKULA

Halmashauri  katika mwaka wa fedha 2017/2018 ilitenga fedha kiasi cha shilingi milioni 30,000,000. kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya mtumishi ya moja kwa mbili katika zahanati ya Naikula kupitia fedha za makusanyo ya ndani. Ujenzi huo upo katika hatua ya umaliziaji wa ujenzi wa stoo, jiko, bafu na vyoo.


Jengo la Nyumba ya Mtumishi Zahanati ya Naikula  Kata ya Namasakata.


UJENZI WA ZAHANATI KIJIJI CHA LEGEZAMWENDO.

Mradi wa ujenzi zahanati katika kijiji cha Legezamwendo ulinza mwaka wa fedha 2011/2012, kwa kutumia fedha za Ruzuku ya Maendeleo ya Halmashauri, hadi kufikia sasa mradi huu umegharimu jumla ya milioni 120,000,000. ujenzi huu baadhi ya majengo yamekamilika na mengine yanaendelea kujengwa kulingana na upatikanaji wa fedha.


Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • SULUHU YA KUDUMU Maji Tunduru Yapatikana: Mkataba Wa Bilioni 3.2 Wasainiwa

    May 07, 2025
  • BODI Ya Wakurugenzi wa Mamlaka Ya Maji Na Usafi Wa Mazingira Tunduru (TUUWASA) Yazinduliwa

    May 07, 2025
  • TUNDURU Yajizatiti Kukabiliana na Ugonjwa wa Mpox.

    March 27, 2025
  • TUNDURU Yaungana katika Dua na Iftar

    March 24, 2025
  • Ona Zote

Video

WANANCHI WAENDELEA KUPATIWA MAFUNZO KWA VITENDO ILI KUTATUA MIGONGANO YA BINADAMU NA WANYAPORI.
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.