Imewekwa : November 28th, 2023
Ziara ya Kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Tunduru ikiongozwa na Cde. Abdallah Mtila imetembelea majimbo ya Tunduru Kusini na Tunduru Kaskazini kukagua miradi ya maji mwezi Novemba, 27.
Mira...
Imewekwa : November 25th, 2023
Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru imefanya uzinduzi wa Kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Nchini kuanzia Tarehe 25 Novemba hadi 10 Disemba 2023.
Katibu tawala Wilaya ya Tunduru Ndg.Mi...
Imewekwa : November 21st, 2023
Naibu Katibu Mkuu, Elimu (OR TAMISEMI) Dkt. Charles Msonde, amefanya mkutano na walimu wa wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma. Mkutano huo ulihudhuriwa na walimu kutoka shule zote za msingi na sekondari ...