Imewekwa : November 12th, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas ametembelea na kukagua ukarabati wa Daraja lililopo Muhuwesi Novemba 12,2023.
Ukarabati huo Mdogo umekuja baada ya daraja hilo kupata hitilafu...
Imewekwa : November 10th, 2023
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Ndg. Chiza Marando, ameendesha kikao cha kawaida cha kujadili utekelezaji wa shughuli za lishe kwa robo ya kwanza (Julai – Septemba 2023) ...
Imewekwa : November 9th, 2023
Wakulima wa korosho Wilayani Tunduru wamekubali kuuza korosho zao Tani 4,017 katika mnada wa pili wa zao hilo.
Mnada huo ulifanyika katika kijiji cha Amani chama cha ushirika cha msing...