• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Departiment
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maliasili na Utalii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utumishi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Information, Technology, Communication and Public Relation
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
    • Kilimo
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
      • Kata ya Mbati
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Ukaguzi wa Ndani


UTANGULIZI

Kitengo cha ukaguzi wa ndani kimeanzishwa chini ya kifungu 45 (1) cha sheria ya fedha ya mamlaka ya Serikali za mitaa Na 13 ya mwaka 1982.Kitengo hiki kinatekeleza majukumu yake kwa kushirikiana na Kamati ya Ukaguzi.

 

MAJUKUMU YA KITENGO

Kuandaa Mpango kazi wa Ukaguzi wa ndani wa Halmashauri kila Mwaka.

Kufanya ukaguzi kwa Idara na vitengo vyote vya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru kama ilivyoainishwa katika mpango kazi.

Kutoa ushauri kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru kuhusu mfumo wa udhibiti wa ndani na ukaguzi wa nje.

Kuandaa taarifa ya kila robo mwaka na kuiwasilisha kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, Mkaguzi wa nje,RAS na Mkaguzi Mkuu wa ndani wa serikali(IAG). 

kutoa ushauri pale utakapohitajika na kufanya ukaguzi maalumu kwa maagizo ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Kukagua na kutoa ushauri sahihi ili kuboresha utawala bora wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.

Kufanya ufuatiliaji na ukaguzi na usimamizi wa fedha zote za Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru zinakusanywa na halmashauri kwa kutumia mifumo ya kieletroniki.

Kufanya ukaguzi wa matumizi ya fedha zote za Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru na kuandaa taarifa kwa Afisa Masuuli.

Kufanya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na mali za Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru  pamoja na kuhakiki uwepo wa thamani ya fedha.

Kuhakikisha malengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru yanafikiwa na kuwa na uwajibikaji. 

Kuhakikisha kuwa sheria, kanuni na taratibu za fedha za serikali zinafuatwa kama zilivyo ainishwa kwenye sheria mbalimbali za serikali

Kufanya kazi nyinginezo kwa maagizo ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.

 

KITENGO KINAFANYA KAZI KWA KUZINGATIA MIONGOZO NA SHERIA MBALIMBALI KAMA IFUATAVYO;

Public Finance Act no 6 revised 2004 with its regulations.

Public procurement Act 2004 with its regulations 2005.

Public scheme of service.

Public service Act 2002 and its regulation 2003.

IPPF.

LGFA – (Local Government Finances Act)

Local Authorities Financial Memorandum (LAFM) 2009.

Miongozo na Nyaraka zote za serikali.

Matangazo

  • MATOKEO YA FORM FOUR 2022 - 2023 February 01, 2023
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KATIKA KUZIDI KUTHIBITI WANYAMA HATARISHI NA WAHARIBIFU.

    May 25, 2023
  • ZIARA YA KIKAZI BALOZI WA MSUMBIJI NCHINI TANZANIA

    May 24, 2023
  • UGAWAJI VIUATILIFU VYA KOROSHO KWA MFUMO KIDIGITALI

    May 22, 2023
  • DC MTATIRO AKIZUNGUMZA NA WATOA HUDUMA ZA AFYA.

    May 17, 2023
  • Ona Zote

Video

AFISA USHIRIKA AFNYA ZIARA KUSIKILIZA KERO ZA WAKULIMA KATIKA VYAMA VYA MSINGI
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.