Imewekwa : November 22nd, 2019
Mkuu wa wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma Mhe. Julius Mtatiro amewataka wakulima wa zao la korosho kutumia vizuri fedha wanazopata katika kuwapeleka watoto shule na kukata bima ya afya ya jamii...
Imewekwa : October 30th, 2019
Tunduru 30, Oktoba 2019.
Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma inapenda kukanusha habari ya upotoshaji iliyotolewa na Gazeti la Habari Leo la tarehe 28 Oktoba ...
Imewekwa : October 3rd, 2019
Theresia Mallya 03.10.2019
Katika kuhakikisha kuwa kanuni taratibu na miongozo inafuatwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 24, 2019 wasimamizi wasaidizi...