Imewekwa : February 7th, 2018
Shirika la maendeleo ya Nishati ya mafuta ya petroli Tanzania (TPDC) wamechangia milioni 25 ujenzi wa kituo cha afya Nakayaya wilayani Tunduru ikiwa kuunga mkono
juhudi za Mkuu...
Imewekwa : February 2nd, 2018
Milioni 194 kunufaisha vijana na wanawake
Jumla ya shilingi milioni 194 zimetolewa na halmashauri ya tunduru kwa vikundi vya wajasiriamali wanawake na vijana na walemavu 94 vil...
Imewekwa : February 1st, 2018
Katika baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Tunduru lililofanyika katika ukumbi wa klasta ya Mlingoti waapishwa madiwani wa Kata za Kalulu na Lukumbule.
Akifungua mkutano wa robo ya pili ya ...