Imewekwa : October 10th, 2023
Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru imeendesha mafunzo kwa Viongozi ngazi ya kijiji,kitongoji na Mtaa, mafunzo hayo yalifanywa kuanzia Oktoba 09 -10, 2023.
Mafunzo hayo yalilenga kuwajengea uwezo juu ...
Imewekwa : October 10th, 2023
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ikiongozwa na Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Ruvuma Bwana. Saidi Juma Kijiji inaendesha zoezi la kliniki za ardhi katika Wilaya ya Tunduru.
Zoezi ...
Imewekwa : October 4th, 2023
Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Ruvuma imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo wilayani Tunduru, Miradi hiyo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa nje (OPD) lililop...