Imewekwa : February 7th, 2024
Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru imefanya kikao cha kawaida cha kujadili utekelezaji wa mkataba wa afua za lishe Februari 5, 2024.
Kikao kiliongozwa na Mwenyekiti ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya ...
Imewekwa : January 30th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mhe. Wakili Julius S. Mtatiro, amefanya ziara ya kikazi kutembelea Shule ya Sekondari Ligunga. Katika ziara hiyo, amekagua miundombinu mbalimbali ikiwemo ya maji na vyoo.
...
Imewekwa : January 30th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Wakili Julius S. Mtatiro anawatangazia wafanyabiashara wa sukari wa jumla na rejareja, kuacha mara moja kuuza sukari kwa bei isiyokuwa elekezi.
Pichani: Mhe. Waki...