• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DC MASANJA Azindua Zoezi La Ugawaji Madawati 939 Yaliyotengenezwa Kupitia Mapato Ya Ndani.

Imewekwa : January 9th, 2026

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mhe. Denis Masanja, leo amezindua rasmi zoezi la ugawaji wa madawati 939 mapya kwa shule za msingi na sekondari zilizopo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.

Pichani: Mhe.Masanja akikabidhi Madawati kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Muungano.

Madawati hayo yametengenezwa kwa kutumia mapato ya ndani ya Halmashauri yenye thamani ya shilingi milioni 103.3.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mhe. Masanja amesema kuwa hatua hiyo ni sehemu ya jitihada za Serikali katika kuboresha mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji, pamoja na kupunguza changamoto ya uhaba wa madawati shuleni. Ameeleza kuwa usimamizi mzuri wa mapato ya ndani ni nyenzo muhimu katika kuleta maendeleo ya haraka na ya moja kwa moja kwa wananchi, hususan katika sekta ya elimu.

Mhe. Masanja amepongeza uongozi wa Halmashauri, wataalamu pamoja na wananchi kwa ushirikiano wao katika ukusanyaji wa mapato ya ndani, akisisitiza kuwa mafanikio hayo ni ushahidi wa wazi kwamba mapato ya ndani yakisimamiwa kwa uadilifu yanaweza kutatua changamoto nyingi zinazowakabili wananchi.

Aidha, amewataka walimu na wanafunzi kuyatunza madawati hayo ili yadumu kwa muda mrefu na kuendelea kuwahudumia wanafunzi wengi zaidi.

Zoezi la ugawaji wa madawati linaendelea katika shule mbalimbali ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru,ambapo kwa awamu ya kwanza madawati 378 yataenda katika shule 16 , ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa dhamira ya Serikali ya kuhakikisha kila mwanafunzi anapata mazingira bora, salama na rafiki ya kujifunzia.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA KAWAIDA BARAZA LA MADIWANI WA PITIA TAARIFA ZA KATA WAENDELEA TUNDURU

    January 29, 2026
  • NUKUU YA LEO

    January 26, 2026
  • DC MASANJA Azindua Zoezi La Ugawaji Madawati 939 Yaliyotengenezwa Kupitia Mapato Ya Ndani.

    January 09, 2026
  • HARAMBEE YA UJENZI WA OFISI YA CCM TUNDURU YAKUSANYA ZAIDI YA MILIONI 106 PAMOJA NA MIFUKO 15 YA SARUJI.

    December 29, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.