• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Video

  • WATUMISHI TUNA WAJIBU WA KUZUIA RUSHWA:TUSHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA UJENZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 13th, 2025

    Wito huo ulitolewa na Ndugu Hamad Kibwana, ambaye alimwakilisha Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilayani humo, katika kikao kazi kilichofanyika kwenye ukumbi wa Sky Way. Alisisitiza kuwa jukumu la kuzuia rushwa ni letu sote, na njia mojawapo ni kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa miradi hii ili kuhakikisha thamani halisi ya fedha za umma inapatikana.

    Kikao hicho muhimu kiliongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mheshimiwa Denis Masanja, na kiliwaleta pamoja watumishi katika ngazi za utawala wa wilaya. Madhumuni yake yalikuwa kuwajengea uelewa watendaji hawa kuhusu majukumu yao katika kusimamia maendeleo na kupambana na vitendo vya rushwa vinavyoweza kujitokeza kwenye miradi. Hii inajumuisha kuhakikisha taratibu zote za manunuzi na utekelezaji zinafuatwa bila upendeleo.

  • DC MASANJA akabidhi hati 472 za kimila kwa wakazi wa kijiji cha Ngapa; Ataja faida zake katika kuondoa migogoro ya ardhi.

    August 12th, 2025

    Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mheshimiwa Denis Masanja, amekabidhi hati za kimila 472 kwa wananchi wa Kijiji cha Ngapa. Mpango huu una lengo la kuleta utulivu na maendeleo kwa jamii. Utekelezaji wake unalenga kuondoa migogoro ya ardhi na kuimarisha usalama wa umiliki wa ardhi miongoni mwa wananchi, ambao mara nyingi wamekuwa wakikumbana na changamoto mbalimbali.

    Akitoa taarifa kwa Mkuu wa Wilaya, ndg Stephen Mpondo Afisa Mahusiano Jamii kutoka Hifadhi ya Taifa Nyerere (W),alizungumza kwamba, Jumla ya hati 2,783 zimetayarishwa kwa ajili ya vijiji nane vilivyopo katika Wilaya ya Tunduru vyenye mipango ya matumizi ya ardhi, kupitia mradi wa ERB unaosimamiwa na Hifadhi ya Taifa ya Nyerere. Kati ya hati hizo, Kijiji cha Ngapa pekee kimepokea hati 472. Vijiji vingine vilivyofaidika ni Muhuwesi (hati 291), Mnazi Mmoja (hati 355), Liwangula (hati 312), Chawisi (hati 225), Jaribuni (hati 314), Matemanga (hati 156), na Ligunga (hati 658). Mpango huu unaonesha dhamira ya serikali ya kuboresha maisha ya wananchi wake kupitia urasimishaji wa umiliki wa ardhi.

  • WANUFAIKA WA MKOPO WA 10% TUNDURU WAISHUKURU SERIKALI, WAAHIDI KUREJESHA KWA WAKATI BILA USUMBUFU

    August 11th, 2025

    Mikopo hiyo ya shilingi milioni 574,257,500  imelenga makundi yenye mahitaji maalum ya kiuchumi. Kwa ujumla, vikundi 50 vya wajasiriamali wadogo vimenufaika na fedha hizi. Vikundi hivyo vimegawanyika katika makundi makuu matatu: vikundi 24 vya wanawake, vikundi 21 vya vijana, na vikundi 5 vya watu wenye ulemavu. Jumla ya wanufaika ni 227

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • TUNDURU tupo Nanenane Mbeya kukupa Elimu ya Lishe.

    August 04, 2025
  • WASIMAMIZI wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata Jimbo la Tunduru Kusini na Kaskazini waapa kutunza siri na kujitoa vyama vya siasa.

    August 04, 2025
  • TUNDURU yaanza ujenzi wa ukumbi wa kisasa kwa bilioni 1.4 za mapato ya ndani.

    August 01, 2025
  • WAMAMA MASHUHUDA watoa siri ya afya bora ya watoto kupitia maziwa ya mama pekee Tunduru.

    August 01, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

Tovuti linganifu

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.