Mkaguzi wa Ndani Bwn. Imani Bukuru toka Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru akisoma taarifa ya ukaguzi wa Wilaya, katika kikao maalum cha baraza la madiwani wa kupitia ripoti ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali pamoja na hoja za ukaguzi kwa mwaka wa fedha 2022/2023.
Mtaalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mhandisi Ramadhani Magaila akielezea jinsi mradi utakavyokuwa katika kijiji cha Mbati.
Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.