• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Video

  • DC MASANJA AAGIZA: HAKUNA KILIMO WALA UFUGAJI KATIKA MAENEO YA HIFADHI TUNDURU!

    October 1st, 2025
  • WAKAGUZI WA NDANI HALMASHAURI YA TUNDURU WAENDELEA NA JUKUMU LA KUFUATILIA HOJA ZA CAG.

    October 1st, 2025

    Timu ya Wakaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, chini ya uongozi wa Mkuu wa Kitengo Ndugu Imani Bukulu, inaendelea kwa kasi na jukumu lake la kila siku la ukaguzi. Jukumu hilo linahusisha kufuatilia na kurekebisha hoja za ukaguzi zilizotolewa na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

    Jukumu kuu la timu hiyo kwa sasa ni kufanya mapitio ya kina ya mpango kazi wa utekelezaji wa hoja za CAG, kwa kutumia Mfumo wa Ufuatiliaji wa Hoja za Kikaguzi (IFT-MIS - Inspection and Financial Tracking Management Information System). Mfumo huu ni muhimu kwa sababu unawezesha kufuatilia utekelezaji wa hoja za ukaguzi kwa uwazi na ufanisi, na kuhakikisha kuwa mapungufu ya kifedha na kiutawala yanarekebishwa.

    Kwa mujibu wa maelezo ya Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani, matumizi ya mfumo wa IFT-MIS yameboresha kwa kiwango kikubwa kasi na ufanisi wa ukaguzi, kwani nyaraka zote hupatikana kidigitali, jambo linalorahisisha uhakiki wa taarifa na kupunguza changamoto za upotevu wa nyaraka za karatasi.

    Aidha, wakaguzi wamesisitiza kuwa ukaguzi wa mara kwa mara si tu unasaidia kugundua changamoto mapema, bali pia ni chachu ya kuongeza uwajibikaji kwa watumishi wote wanaosimamia mapato na matumizi ya Serikali.

  • “VIONGOZI WA SERIKALI MSISHIRIKI KUUZA ARDHI KIHOLELA”-DC MASANJA

    October 1st, 2025

    Kikao hicho, kilichoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mheshimiwa Denis Masanja, kiliwaleta pamoja Viongozi muhimu katika ngazi za utawala wa wilaya, walijumuisha watendaji mbalimbali wenye jukumu la kusimamia na kutekeleza sera za serikali katika ngazi ya wilaya.

    Madhumuni makuu yalikuwa kuwajengea uelewa watendaji wa serikali kuhusu sheria, kanuni, na taratibu zinazopaswa kufuatwa katika masuala mbalimbali ya uongozi

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • Next →

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 24, 2025
  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 24, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2022/2023 July 24, 2023
  • TANGAZO LA MAENEO YA UTAWALA YA HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU KWA AJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • DC MASANJA AFANYA KIKAO NA TANAPA KUJADILI MIKAKATI YA KUIMARISHA MASUALA YA UHIFADHI TUNDURU.

    October 22, 2025
  • MWALIMU NYERERE: MAONO YAKE YANAENDELEA KUIPA MWELEKEO TANZANIA YA SASA

    October 14, 2025
  • MUFTI MKUU WA TANZANIA AWASILI TUNDURU, ASISITIZA AMANI, UNYENYEKEVU NA USHIRIKI WA UCHAGUZI MKUU 2025 KWA UTULIVU

    October 12, 2025
  • MKURUGENZI MARANDO AWAHAMASISHA WANANCHI KUPELEKA WATOTO SHULE

    October 08, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Ajira Serikalini
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Wizara ya fedha
  • Bunge

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.