• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI TUNDURU YANAENDELEA.

Imewekwa : February 11th, 2026

Leo, tarehe 11 Februari, 2026, Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru imeendelea na mafunzo kwa Waheshimiwa Madiwani, ikiwa ni siku ya pili na ya mwisho ya mafunzo hayo yanayolenga kuwajengea uwezo katika utekelezaji wa majukumu yao ya msingi ya kiuongozi na uwakilishi wa wananchi.

Mafunzo hayo yamelenga kuwapa Madiwani uelewa mpana kuhusu majukumu yao ya kisheria na kiutendaji, ili kuongeza ufanisi katika kusimamia maendeleo na kusikiliza kero za wananchi katika maeneo yao ya uwakilishi.


Kabla ya kuanza kwa mafunzo ya leo, Waheshimiwa Madiwani walisimama kwa dakika mbili kumkumbuka na kumuenzi marehemu Mheshimiwa Diwani wa Kata ya Namasakata, Mhe. Rashidi Saidi Makosela, aliyefariki dunia tarehe 09 Februari, 2026, baada ya kupata ajali. Tukio hilo lilitokea siku ya kwanza ya mafunzo hayo, na limeacha pengo kubwa katika Baraza la Madiwani na kwa wananchi wa Kata ya Namasakata.

Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru inaendelea kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na wananchi wote wa Kata ya Namasakata kwa msiba huo mkubwa, huku ikisisitiza mshikamano na umoja katika kipindi hiki cha majonzi.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • DAMU SALAMA, UHAI SALAMA: TUNDURU YAKUSANYA CHUPA 224 ZA DAMU KUPITIA SHULE ZA SEKONDARI

    February 06, 2026
  • MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI TUNDURU YANAENDELEA.

    February 11, 2026
  • RPC RUVUMA AZINDUA RASMI JENGO LA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO TUNDURU.

    February 09, 2026
  • NANDEMBO YAUNGANA KWA AMANI: WANANCHI WAPATIWA ELIMU YA UPENDO NA MSHIKANO KATIKA SHUGHULI ZA KIJAMII

    February 08, 2026
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.