Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Ruvuma yampongeza Mkuu wa Mkoa na Serikali kwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo Tunduru
Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Ruvuma imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo wilayani Tunduru, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Shule mpya, maabara, majengo ya Tehama, mabweni,na vyoo. Ziara hiyo iliongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa, Mhe. Komred Oddo Mwisho, na iliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Mhe. Kanali Labani Thomas.
Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.