• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Video

  • MBAAZI zawaingizia wakulima Tunduru bilioni 1.6

    August 23rd, 2023

    WAKULIMA wa Mbaazi Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma wameingiza zaidi ya shilingi bilioni 1.69 baada ya kuuza Kilo 839,940 za mbaazi katika Mnada wa kwanza Msimu wa mwaka 2022/2023.

    Hayo yamesemwa na Meneja wa Oparesheni wa Chama Kikuu cha Ushirika Tunduru (TAMCU) Bw. Marcelino Mrope wakati akizungumza na Wanahabari ofisini kwake Mjini Tunduru.Bw, Mrope amesema TAMCU katika msimu wa Mwaka 2023/2024 imejiwekea malengo ya kukusanya Mbaazi Kilo 5,350,788 na kwamba katika msimu huu Chama kimeagiza viroba 130,000 kwa ajili ya kuhifadhia Mbaazi.

    Hata hivyo, amesema kuwa ukusanyaji wa Mbaazi katika msimu wa 2022/2023 uliendelea kuuzwa kwa mfumo wa Stakabadhi Ghalani, ambapo jumla ya Minada sita ilifanyika na Kilo 3, 035,692 ziliuzwa na kuwaingizia Wakulima zaidi shilingi bilioni 2.6.

    “ukusanyaji wa zao la Mbaazi umepungua kidogo kutoka kilo 4,111,845 msimu wa mwaka 2021/2022 hadi kilo 3,035,692 msimu wa mwaka 2022/2023 ambapo ni sawa na anguko la asilimia 26.17 la ukusanyaji katika mauzo”, alisema.

    Mnada wa pili wa zao la Mbaazi Wilayani Tunduru unatarajia kufanyika katika kijiji cha Msinji Agosti 24, 20

    Imeandaliwa na Orpa Kijanda,Kaimu Mkuu Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.

  • BILIONI 1.2 kuboresha miundombinu ya afya Tunduru

    August 22nd, 2023

    BILIONI 1.2 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA AFYA TUNDURU

    Serikali ya awamu ya sita imetoa bilioni 1.2 kuboresha miundombinu ya hospitali kongwe iliyoanzishwa mwaka 1930 wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma.

    Mganga mfawidhi wa hospital ya wilaya ya Tunduru, Daktari Athumani Mkonoumo amesema wamepokea shilingi milioni 900 kwa ajili ya ukarabati wa miundombinu ya hospitali hiyo ambayo inajenga maabara mpya, Jengo la wagonjwa wa nje (OPD) na chumba cha upasuaji.

    Amesema Serikali pia imetoa shilingi milioni 300 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo ya wagonjwa wa Dharura (EMD), na kwamba limekamilika na kuanza kutoa huduma za dharura tangu Juni mwaka huu.

    Vilevile, hospitali imepokea vifaa vya matibabu katika jengo hilo la dharura (EMD), vifaa hivi ni pamoja na Mashine ya X-Ray, Utrasound na mashine za kusaidia kupumua pamoja mitungi ya gesi ambapo hadi sasa wagonjwa zaidi ya 86 wamefanikiwa kupatiwa huduma zinazotolewa na EMD.

    “Itatusaidia sana kutoa huduma bora na stahiki kwa sababu hatutokua na changamoto kubwa ya vifaa na miundombinu sahihi ya kutoa hizo huduma”. Alisema.

    Ukarabati huu mkubwa wa hospitali utapunguza idadi kubwa ya wagonjwa kupewa rufaa ya kwenda kupata huduma nje ya wilaya.

    Imeandaliwa na Orpa Kijanda,Kaimu Mkuu Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.

    22/08/2023.

  • TUNDURU yapewa bilioni 1.2 miradi ya BOOST

    August 21st, 2023

    Kaimu Afisa Elimu Msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Dastan Chiyombo amesema Serikali imetoa Zaidi ya Shilingi billion 1.2 kutekeleza miundombinu 83 katika Shule za msingi.

    Chiyombo amesema hayo mjini Tunduru katika mahojiano maalumu ambapo amesema fedha hizo zimetolewa kupitia programu ya BOOST na kwamba utekelezaji wa miradi hiyo ipo katika hatua za umaliziaji.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • DED Marando ndani ya Maonesho ya Nanenane Mbeya.

    August 05, 2024
  • TUNDURU ipo nanenane Mbeya na Uyoga wa kutengenezwa kwa njia ya kisasa

    August 04, 2024
  • AFISA LISHE YUPO KATIKA MAONESHO YA NANENANE

    August 04, 2024
  • MKURUGENZI Mtendaji mamlaka ya Maji Jiji la Mbeya atembelea banda la Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    August 03, 2024
  • Ona Zote

Video

WANANCHI WAENDELEA KUPATIWA MAFUNZO KWA VITENDO ILI KUTATUA MIGONGANO YA BINADAMU NA WANYAPORI.
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

Tovuti linganifu

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.