• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Video

  • ZAIDI YA BILIONI 6 KUJENGA MRADI WA UMWAGILIAJI TUNDURU.

    July 16th, 2024

    Katika hatua kubwa ya kuimarisha sekta ya kilimo na kuongeza uzalishaji wa chakula, Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imeidhinisha kuanza kwa mradi mkubwa wa umwagiliaji katika Kijiji cha Nambarapi, Kata ya Masonya, Wilaya ya Tunduru. Mkandarasi aliyepewa dhamana ya kutekeleza mradi huu ataanza kazi tarehe 29.07.2024, na unatarajiwa kukamilika ndani ya miezi 18, kufikia tarehe 31 Desemba, 2025.

    Makabidhiano ya mradi huu wenye thamani ya shilingi bilioni 6,314,477,066.00 baina ya Tume ya Taifa ya umwagiliaji kwa mkandarasi yamefanyika kwa sherehe za hadhara katika kijiji cha Nambarapi, zimehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Simon Chacha, ambaye alikuwa akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed.

  • HOSPITALI YA Wilaya ya Tunduru yakabidhiwa Gari mbili za wagonjwa.

    December 29th, 2023

    Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Labani Thomas akabidhi Gari saba za wagonjwa katika Halmashauri za Mkoani humo, ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru ilikabidhiwa Gari Mbili za wagonjwa.

  • "MIRADI YOTE IKAMILIKE KABLA YA DISEMBA 30 MWAKA HUU" RC RUVUMA.

    December 29th, 2023

    Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amewaagiza wakuu wa Wilaya na wakurungenzi wa Halmashauri zote mkoani humo kuhakikisha miradi yote ya elimu inakamilika kabla ya Desemba 30 mwaka huu.

    Ametoa agizo hilo wakati anazungumza kwenye majumuisho ya ukaguzi wa miradi katika Halmashauri ya wilaya ya Tunduru baada ya kukagua mradi wa sekondari mpya ya Kata ya Tuwemacho ambapo serikali imetoa zaidi ya shilingi milioni 560 kutekeleza mradi huo kupitia programı ya SEQUIP.

    Mkuu wa Mkoa pia ameiagiza TAKUKURU kuchukua hatua mara moja kwa Mtendaji yeyote ambaye amesababisha mradi kutolingana na thamani ya fedha zilizotolewa na serikali  hivyo kutekelezwa chini ya kiwango

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • TUNDURU Yaungana katika Dua na Iftar

    March 24, 2025
  • WANUFAIKA wa mkopo wa asilimia 10 Tunduru wapewa mafunzo

    February 27, 2025
  • MIRADI YA ELIMU TUNDURU

    February 21, 2025
  • MIRADI YA ELIMU TUNDURU

    February 21, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

Tovuti linganifu

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.