• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Video

  • DC MASANJA ATEMBELEA MRADI-SKIMU YA NAMBARAPI, AAGIZA UKAMILIKE KWA WAKATI

    October 1st, 2025

    Mradi huu wenye thamani ya shilingi bilioni 6,314,477,066.00 unaosimamiwa na Tume ya Taifa ya umwagiliaji unahusisha ujenzi wa banio na tuta, ujenzi wa mfereji mkuu, ujenzi wa mfereji wa upili, ujenzi wa mfereji wa matupio, ujenzi wa barabara za mashambani, ujenzi wa vivusha maji, na ujenzi wa ofisi ya mhandisi.

  • KUTOKA UBAO NA CHAKI HADI SKRINI ZINAZONG'AA, ELIMU SASA NI BURUDANI TUNDURU

    October 1st, 2025

    Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Tunduru, ambao wamezoea mazingira ya kawaida ya kujifunza, sasa wanashuhudia mapinduzi ya elimu kwa kutumia Darasa Janja, zana mpya iliyoingia darasani na kuleta uhai mpya.Walimu wanatumia televisheni hizi janja kuonyesha masomo kwa njia ya video, picha, na michoro. Badala ya kutumia chaki na ubao pekee, walimu sasa wanaweza kuwapa wanafunzi uzoefu wa kujifunza unaovutia na unaowahusisha zaidi.

  • ✨ BIDHAA ZOTE ULIZOZIONA KWENYE MAONESHO YA NANENANE MBEYA, ZINAPATIKANA WILAYANI TUNDURU!.

    August 25th, 2025

    Kupitia makala maalum ya video ya maonesho ya Nanenane yaliyofanyika jijini Mbeya, tumeshuhudia bidhaa na ubunifu kutoka Tunduru,mazao ya kilimo, ufugaji bora, bidhaa zenye thamani zaidi, na maarifa ya kisasa ya kilimo.

    Habari njema

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • Next →

Matangazo

  • VIWANJA vilivyopimwa vinauzwa. September 06, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KWA WENYE VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA TUNDURU. September 07, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU. September 18, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 25, 2023
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Kura Yako Haki Yako Jitokeze Kupiga Kura

    October 08, 2025
  • SIKU YA WAZEE DUNIANI: Kuadhimisha Na Kutambua Hazina Ya Jamii

    October 01, 2025
  • BONANZA LA MICHEZO

    September 01, 2025
  • WANANCHI Wa Tunduru Wanafaidika Na Siku Za Lishe Vijijini.

    September 30, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

Tovuti linganifu

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.