• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA WAPATA MAFUNZO YA UCHAGUZI WILAYANI TUNDURU

Imewekwa : October 1st, 2024

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA WAPATA MAFUNZO YA UCHAGUZI WILAYANI TUNDURU

Msimamizi wa uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru,Ndugu Chiza C Marando ameendesha mafunzo ya Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ili kuwapa uelewa mzuri wa kuzingatia sheria,taratibu na kanuni za mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajia kufanyika tarehe 27 Novemba,2024. Mafunzo haya yamefanyika leo tarehe 30 Septemba , 2024 katika ukumbi wa Klasta.

Lengo kuu la mafunzo haya ni kuhakikisha kuwa Wasimamizi hao wanafahamu sheria za Uchaguzi, kanuni za uendeshaji, na umuhimu wa uwazi na haki katika mchakato mzima.

Msimamizi wa uchaguzi amesisitiza umuhimu wa ushirikiano na uwajibikaji katika kutekeleza majukumu yao, ili kuhakikisha uchaguzi huru na wa haki kwa wananchi wote wanao tuzunguka katika maeneo yetu.

Pia Ndugu Chiza Marando amewataka kuyashika na kuyaishi mafunzo hayo kwa sababu ndio muongozo na kanuni za Uchaguzi wa Serikali za mitaa  ili kufanya uchaguzi wenye weledi wa hali ya juu. Aliendelea kwa kuwasisitiza Msimamizi msaidizi aweze kuuliza pale asipo elewa na siyo kujifungia na kitu ambacho hajakielewa vizuri na kuweza kuleta taaruki kwenye zoezi hilo muhimu la Uchaguzi.

Aidha Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe.Simoni Chacha aliudhuria katika mafunzo hayo na kuwapongeza wataalumu mbalimbali walioteuliwa katika nafasi ya Msimamizi msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata na Vijiji na kuwataka wa zingatie maadili na kufuata kanuni na taratibu za uchaguzi na siyo kuendeshwa na akili na maamuzi binafsi.

Aidha Afisa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Ndg.Abdul Kasembe aliwaeleza kwa kina wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata na Vijiji juu ya Sheria,Taratibu  na Kanuni  za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwapitisha maeneo muhimu yote yanayo husiana na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kutumia Muongozo wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.