• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WASIMAMIZI wa vituo vya Afya na Zahanati wakumbushwa wajibu.

Imewekwa : December 17th, 2024

Katika hatua ya kuimarisha utoaji wa huduma za afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, Mkuu wa Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe, Dkt. Wilfred Rwechungula,amefanya kikao maalum na wasimamizi wa vituo vya afya na zahanati. Kikao hiki kimelenga kuwakumbusha wajibu wao katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na za uhakika.

Miongoni mwa mada zilizoshirikishwa katika kikaohicho ni pamoja na umuhimu wa kujaza taarifa za wagonjwa kwa usahihi ilikuepuka makosa yoyote. Aidha, wasimamizi wamepewa mafunzo ya ziada kuhusu utoaji wa huduma za UKIMWI, kufuatilia viashiria vya maradhi, na kuhakikisha kuwa watu wanaoishi na UKIMWI wanapata matibabu na huduma bora. Vilevile, sualala kuzuia maambukizi ya UKIMWI kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto limepewa uzitomkubwa.

Aidha, kikao kimegusia Mada nyingine muhimu iliyojadiliwa ni matumizi sahihi ya kadi za watoto na wajawazito. Pamoja na umuhimu wa kadi hizi katika kufuatilia afya ya mama namtoto, wasimamizi wametakiwa kuhakikisha wanazitumia vizuri na kutoa elimu kwa wananchi kuhusu manufaa yake. 

Akizungumza katika kikao hicho, Dkt. Rwechungula amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya wasimamizi na watendaji wengine wa afya ili kuhakikisha kila mgonjwa anapata huduma anayostahili kwa wakati. "Tunataka kuona wananchi wetu wakiwa na afya njema, na hilo halitawezekana bila juhudi za pamoja," alisema Dkt. Rwechungula.

Kwa upande wao, wasimamizi wa vituo vya afya wameahidi kutekeleza maelekezo yote yaliyotolewa katika kikao hicho.Wamebainisha kuwa wataendelea kujitahidi kuboresha huduma zao ili kuhakikisha kuwa wananchi wanapata afya bora.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • SULUHU YA KUDUMU Maji Tunduru Yapatikana: Mkataba Wa Bilioni 3.2 Wasainiwa

    May 07, 2025
  • BODI Ya Wakurugenzi wa Mamlaka Ya Maji Na Usafi Wa Mazingira Tunduru (TUUWASA) Yazinduliwa

    May 07, 2025
  • TUNDURU Yajizatiti Kukabiliana na Ugonjwa wa Mpox.

    March 27, 2025
  • TUNDURU Yaungana katika Dua na Iftar

    March 24, 2025
  • Ona Zote

Video

WANANCHI WAENDELEA KUPATIWA MAFUNZO KWA VITENDO ILI KUTATUA MIGONGANO YA BINADAMU NA WANYAPORI.
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.