• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WANUFAIKA WA TASAF WAIPONGEZA SERIKALI.

Imewekwa : June 1st, 2017

WANUFAIKA WA TASAF WAIPONGEZA SERIKALI
 Walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini wilayani Tunduru waipongeza serikali kwa kuendelea kutoa ruzuku.

 Hayo yamesemwa na wanufaika wa kaya maskini katika kijiji cha Chiuongo kilichopo kata ya namasakata wilayani wakati wa kupokea ruzuku awamu ya ishirini mapema wiki hii.

 Akizungumza wakati wa mkutano na walengwa muwezashaji kutoka wilayani ndg chrisantus Haule alisema kuwa ni vyema walengwa kutimiza masharti ya mradi ikiwa ni Elimu, afya na kujikwamua kiuchumi.

 Ndg Haule aliendelea kuwasisitiza walengwa kuhakikisha kuwa wanafunzi wanahudhuria masomo na wanasoma vizuri na kuwa na maendeleo bora katika Elimu.

 Alisema pia ni muhimu kwa mama wajawazito kuhudhuria kliniki, na kujaza fomu za masharti za afya na Elimu ili kuepuka changamoto zinazowakabili wanufaika kutokana na kukosekana kwa taarifa sahihi.

 Aliwataka wanufaika kujenga tabia ya kuanzisha miradi ambayo itawasaidia kujikwamua kiuchumi na kuondokana na umaskini.

 Kwa upande wake ndg Rashidi Abdallah Ngoma alishukuru serikali kwa kuwa ruzuku ya Tasaf imemsadia kuweza kuwapeleka watoto shule,kununua mbuzi wawili na kula vizuri pamoja na kupata mavazi bora.
 "Naishukuru sana serikali kwa kuanzisha mpango huu, na ninaweza kusomesha na kupata mahitaji yangu ya kila siku"


mbuzi wa mzee Rashidi Abdallah Ngoma alionunua baada ya kupokea ruzuku ya Tasaf III kwa awamu 20

 Naye bwana Ali Salum Nusura alisema kuwa wanufaika wamekuwa wanakosa ruzuku za wanafunzi walioko shule za msingi na hasa wananfunzi wa sekondari wamekua wakikosa ruzuku hiyo kila yanapofanyika malipo.
 "Nina watoto watatu lakini hawapati ruzuku ya Elimu na fomu za masharti nimejaza zipo wilayani" alisema Rashidi.

 Hata hivyo wananchi wa kijiji cha Chiungo waliambiwa wawe na subira kwani malalamiko yao yanafanyiwa kazi ngazi ya wilaya.

 Imetolewa
 Kitengo cha Tehama na Uhusiano
 Halmashauri ya Tunduru.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.