• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WANUFAIKA 3,745 wahitimu Mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) Tunduru.

Imewekwa : July 9th, 2024

Mpango wa Kunusuru kaya Maskini Wilaya ya Tunduru ambao mpaka sasa una jumla ya kaya 20,869, kati ya hizo kaya jumla ya wanufaika wapatao 3,745 wamehitimu katika mpango huo baada ya miaka 10 ya kuingia kwenye mpango huo na kunufaika.

Akizungumza na wanufaika waliohitimu na wanaoendelea kwenye mpango wa TASAF katika kijiji cha Misufini na Namiungo, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Simon Chacha aliwapongeza wale wote walioutumia mpango huu kujiimarisha kiuchumi huku wakizitumia fedha walizowezeshwa kufanya shughuli za maendeleo.

Pichani ni Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mhe. Simon Chacha 

“Mnapoingia TASAF mjipange na kutoka pia, kwa maana ya kwamba kile mnachowezeshwa kiwasaidie kujikwamua kutoka katika hali ngumu ya kiuchumi” Alisema Mhe. Chacha “Nitahakikisha malipo ya wanufaika yanakamilika na yanawafikia kwa wakati walengwa wote wanaoendelea na Mpango huu”.

Mhe. Chacha aliendelea kusema anaamini wahitimu hawa watatumia ujuzi na maarifa waliyopata kuleta mabadiliko chanya katika jamii zao. Na kuwatakia kila la kheri katika juhudi zao za kimaendeleo.

Kwa upande wake Afisa ufuatiliaji wa Wilaya ya Tunduru kutoka makao makuu ya TASAF ambayo yapo Dar es salaam, Bw. Lazaro Mapimo aliwashukuru na kuwapongeza wanufaika ambao wamehitimu kwenye mpango, huku akiwaomba waendelee kusimamia miradi ambayo ilitokana na TASAF, ili iweze kuwasaidia katika kutatua changamoto mbalimbali na kuwasisitiza kuzingatia lishe bora na kuwapeleka watoto shule.

Pichani ni Afisa ufuatiliaji wa Wilaya ya Tunduru kutoka makao makuu ya TASAF Bw. Lazaro Mapimo

Wanufaika waliohitimu kwenye mpango wameshukuru sana, kwani mpango huu umewawezesha  wamepata fursa ya kuboresha maisha yao na familia zao kupitia mafunzo na msaada wa kifedha waliyopata kutoka kwa mpango huo.

Imetolewa na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru,

Orpa Kijanda,

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.