• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WANAWAKE wasisitizwa kuwa walimu wa maadili katika Jamii.

Imewekwa : March 3rd, 2024

Wanawake Wasisitizwa Kuwa Walimu wa Maadili Katika Familia

Mwakilishi wa Mbunge wa Kusini Mhe. Saidi Bwanali amewataka wanawake kusimamia maadili, hasa katika familia, wakati akizindua maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Wilaya ya Tunduru.

Akizungumza baada ya kuwasili katika uzinduzi huo, Mhe. Bwanali alisisitiza umuhimu wa Wanawake kutambua haki zao na wajibu wao kama nguzo imara katika familia na jamii.

Mhe. Bwanali pia alihamasisha wanawake kuwa na ujasiri wa kuthubutu kugombea nafasi mbalimbali hasa za uongozi  kwani mwanamke ni nguzo imara katika jamii.

"Jambo lolote ambalo Mwanamke atalishika, atalisimamia kwa ufasaha na kuhakikisha linafanikiwa." Alisema Mhe.Bwanali.

Aliwataka wazazi, hasa akinamama, kuwapa Watoto malezi bora na maadili mema, ikiwemo Elimu ya Dini, itakayowasaidia kujenga maisha yao bora sasa na baadaye.

Katika Hafla hiyo ya Uzinduzi wa Siku ya Mwanamke Duniani Ofisi ya Maendeleo ya Jamii ikishirikiana na Wanawake Wilaya ya Tunduru walitoa Msaada kwa watu wenye amahitaji Maalumu.

Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatafanyika Machi 08 2024,ambapo  Mkoa wa Ruvuma Yataadhimishwa katika Wilaya ya Mbinga.

Kaulimbiu ya siku ya wanawake Duniani kwa mwaka huu ni "Wekeza kwa Mwanamke: Kuharakisha Maendeleo ya Taifa na Ustawi wa Jamii."

Kauli hii ikiwa inalenga katika kuhisihi jamii kuwekeza kwa mwanamke na kumuamini, kwani mwanamke ameonekana kuwa ni nyezo muhimu sana katika jamii ana uwezo wa kushiriki katika kila jambo  la maendeleo.

Uzinduzi huo ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, wanawake kutoka maeneo mbalimbali Wilaya ya Tunduru na mashirika ya kijamii

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.