• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WANAWAKE TUNDURU WAAZIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Imewekwa : March 10th, 2024

WANAWAKE TUNDURU WAAZIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.

Wanawake Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma wafanya madhimisho ya siku ya Wanawake Duniani ambapo kila ifikapo march 8 hufanyika  madhimisho haya ,na kimkoa yalifanyika wilaya ya Mbinga na kuwakutanisha wanawake wa mkoa mzima

Akizungumza katika madhimsho hayo Afisa Maendeleo ya Jamii Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma jecelyne  mganga alisema haya madhimisho yalitakiwa yafanyike kiwilaya tarehe 6/3/2024 ila kutokana na changamoto ya msiba wa taifa ndio ikawa tarehe 10 /3/2023

Jecelyne alisema madhimisho haya yanakwenda kwa kaulimbiu ya mwaka 2024 ,WEKEZA KWA WANAWAKE KUHARAKISHA MAENDELEO YA TAIFA NA USTAWI WA JAMII 

Pia Diwani wa viti Malumu kutoka tarafa ya Matemanga Stawa Timamu ambaye ni mwenyekiti wa huduma za jamii alisema wanawake wanatakiwa kusimamia maadili ya kitanzania ,amewataka wanawake wapunguze ukatili wa kijinsia

Aidha JUWATU SACCOS  wilaya hapa wakati wakisoma Risala fupi  walisema wamefanikiwa katika Nyanja toufauti ,wamesajiliwa na wana milioni 31 , alisema mtaji umeongezeka na saccos hiyo imesajiliwa na Afisa ushirika wilaya ya Tunduru na wanajivunia mafanikio hayo

Mgeni Rasmi katika Hafla Bi. Sabina Lipukila amesema, Mwanamke anathamani kubwa  katika jamii inayomzunguka, amewataka wananwake kutoendeleza zana ya kumuona mwanamke mwingine ni adui,

Aliendelea kuwasihi wanawawake hasa wazazi , kuwa na malezi bora kwa watoto wao hasa wakike , amewataka kuwaelekeza watoto wao katika njia ya kumtegemea Mungu, na kuwataka wazazi kuwapa watoto wao Elimu ya Dini.

“kupitia kauli mbiu hii ya siku ya Wanawake , inatutaka wanawake kuwajibika katika jamii zetu”, “Watoto wetu wa kike tuwape thamani kubwa na tuwaelekeze katika Elimu ya Dini”. Alisema Bi. Lipukila

Bi. Lipikila, Amewasisitiza wanawake kuwa na uthubutu katika kushika nyazfa mbalimbali  serikalini na ata katika jamii inayowazunguka ili kuharakisha maendeleo ya Taifa na hata Maendeleo ya jamii wanaishi.

Maadhimisho hayo ya Siku ya Wanawake Duniani yanaadhimishwa kila mwaka Machi 08, ambapo Chimbuko lake ni huko marekani Miaka ya 1900 kwa wafanyakazi wa sekta ya Viwanda kupinga mazingira mabovu ya kufanya kazi.

“Wekeza kwa mwanamke, : kuharakisha maendeleo ya Taifa na Ustawi wa Jamii”.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.