• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WAKULIMA MBAAZI WAINGIZA ZAIDI YA BILIONI 1.6 WILAYA YA TUNDURU

Imewekwa : August 12th, 2023

umefanyika uzinduzi wa minada ya mbaazi msimu wa 2023/2024 katika wilaya ya Tunduru katika kijiji cha majimaji  tarehe 12.08.2023.

Katika uzinduzi huo pia Chama kikuu cha ushirka  wilaya ya Tunduru (TAMCU LTD) kimeendesha mnada wa kwanza wa zao hilo  la mbaazi ambapo , kilo 839,941 ziliingia sokoni kwaajili ya kuuzwa katika mnada huo.

Aidha wanunuzi  ishirini (20) waliomba zabuni ya kununua mbaazi hizo zilizopo ghalani kwa mnada wa kwanza ,na wanunuzi watatu walishinda kununua mbaazi zote zilizopo ghalani  tani 839,na kufanya bei ya juu kuwa shilingi 20,18/= na bei ya chini kuwa shilingi 2,015/= na bei wastani kuwa 2,016/= ,na kufanya Zaidi ya bilioni 1.6 kuingia katika mzunguko wilaya ya Tunduru.

Katika uzinduzi huo mwenyekiti wa chama kikuu cha ushirika Tunduru  (TAMCU LTD ) Ndg. Mussa Manjaule aliwaomba wakulima kuendelea kulima na mazao mengine mbadala na si kutegemea zao moja la biashara kama ilivo katika maeneo yetu zao la korosho, na kuendelea kujituma na kuendelea kutanua mashamba ,kama inavofahamika kipaumbele chetu kikubwa na kilimo katika wilaya yetu ya Tunduru.

Pia afisa ushirika wilaya ya Tunduru Ndg George  Bisani , amesisitiza chama kikuu na vyama vya msingi kuwalipa wakulima kwa wakati pale tu wanunuzi wanapoingiza fedha hizo. “hakuna sababu ya kuchelewesha fedha za mkulima” na amewataka watendaji wa vyama vya msingi kuendelea kuwa waaminifu na waadilifu wanapohudumia wakulima.

Kwa upande wao wakulima wameendelea kuishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya msimamizi wake RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Mh.Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuleta mfumo huu wa uuzaji  mazao kwa stakabadhi ghalani kwani ni mfumo wenye tija kwa  pande zote mbili za mnunuzi na mkulima ,na na kuendelea  kuiomba serikali sikivu  kuusimamia mfumo huo ili uzidi kuleta tija Zaidi kwa wkaulima.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.