• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

USHIRIKA kuvinoa vyama vya msingi Tunduru.

Imewekwa : October 18th, 2023

Afisa Ushirika (w) Tunduru Ndg George N. Bisani ametoa Elimu na kufanya ukaguzi wa kawaida wa uandishi  wa vitabu vya kihasibu kwa Bodi na Watendaji wa Vyama vya Msingi katika Wilaya ya Tunduru.

Lengo kuu  likiwa na kusaidia kupunguza hoja za ukaguzi na kuangalia  mwenendo wa shughuli za Ushirika katika vyama hivyo,ambapo Bisani amevitaka vyama vya Msingi vya Ushirika kuzingatia majukumu yao na kuyatimiza kwa kufuata sharia na taratibu zilizowekwa na Tume ya ushirika Tanzania

 Bisani amesema , mpaka sasa vyama 14 vimeshafikiwa katika ukaguzi huo kati ya vyama  37 vya msingi vya Ushirika vilivyopo katika Wilaya ya Tunduru, na amesisitiza  uhuishaji wa taarifa za vyama katika Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika  (MUVU), na kuwataka kutunza nyaraka zote muhimu za vyama vya Ushirika vya Msingi.

Pichani, ni Afisa Ushirika (W) Tunduru Ndg George Bisani akizungumza wakati akitoa Elimu na kufanya ukaguzi katika Vyama vya Msingi.

“Ushirika unaendeshwa kwa utaratibu na kanuni na unahitaji msingi wa ushirikishwaji”,Alisema . “Ninyi kama wasimamizi wa Ushirika, yapaswa kutimiza majukumu yenu kikamilifu na kwa uaminifu Mkubwa”.

Bodi na watendaji wa vyanma vya msingi wamemshukuru Afisa ushirika kwa kuwapa elimu yenye tija ambayo inakwenda kuwanufaisha katika usimamizi wa vyama vya msingi , na kuahidi utekelezaji wa yale yaliyoelezwa na Afisa ushirika.

Pichani ,ni Baadhi ya wajumbe wa Bodi na watendaji wa vyama vya Msingi vya Ushirika wakiwa katika mafunzo na Afisa Ushirika wilaya ya Tunduru.

Tunduru ni moja ya wilaya ambayo wakulima wa mazao ya Korosho, Ufuta na Mbaazi  wanauza mazao yao kupitia mfumo wa Stakabadhi ghalani, ambapo kwa sasa inajiandaa na Minada ya uuzaji wa zao la Korosho,inayotarajiwa kuanza  mnamo Oktoba 26,2023.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • HARAMBEE YA UJENZI WA OFISI YA CCM TUNDURU YAKUSANYA ZAIDI YA MILIONI 106 PAMOJA NA MIFUKO 15 YA SARUJI.

    December 29, 2025
  • MHESHIMIWA SEFU HASSAN DAUDA NDIYE MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU

    December 05, 2025
  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.