• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

TAMCU kununua ghala lenye uwezo wa tani 500.

Imewekwa : September 13th, 2023

Chama kikuu cha ushirika Tunduru (TAMCU LTD) kimefanya mkutano maalum wa kujadili unadishwaji wa Ghala la kuhifadhia mazao, Mkutano ulifanyika Septemba 12, 2023 katika ukumbi wa Skyway Wilayani Tunduru.

Mkutano huo maalumu uliitishwa baada ya bodi ya TAMCU LTD kupokea barua kutoka kwa mmiliki wa Ghala hilo Ndg Fuad Said Abdallah ikitoa Taarifa ya kuuza ghala hilo,lililopo Bias mkabala na kituo cha kuuzia mafuta cha Mambo mazuri .

Pichani ni Mwenyekiti wa Mkutano huo,Ndg. Abubakari Khalifa (Aliyesimama).

Mwenyekiti wa TAMCU LTD Ndg. Mussa Manjaule alisema,  Ghala hilo lina uwezo wa kuhifadhi Tani 5,000 kwa wakati mmoja ,aidha pamoja na ghala hilo kuna mzani wenye uwezo wa kupima Gari zima, Majengo ya ofisi, choo na yamezungushiwa uzio, ambapo baada ya majadiliano baina ya Chama kikuu na muuzaji ,muuzaji amekubali kuuza Ghala hilo kwa shilingi milioni 492.

“Upatikanaji wa ghala hili, unaenda kuchochea maendeleo ya chama kikuu,  ni ghala ambalo litatusaidia sana katika ukusanyaji wa mazao ikiwemo Mbaazi,Korosho na Ufuta , na pia tuna matarajio ya kuongeza ghala lenye uwezo wa kukusanya tani elfu 10 kwa wakati mmoja”. Alisema

Pichani ni Mwenyekiti wa TAMCU LTD Ndg. Mussa Manjaule (Aliyesimama).

Aidha Wajumbe  wakiongozwa na Mwenyekiti wa Mkutano huo Ndg Abubakari Khalifa Kazembe waliridhia  ununuzi wa ghala hilo bila kupinga , kwani waliona ni jambo jema kwa sababu ya uhitaji wake katika chama kikuu kutokana na  upungufu wa maghala ya kuhifadhia mazao ya wakulima.

Pichani ni baadhi ya wajumbe wa Mkutano maalumu wa kujadili unadishwaji wa Ghala.

Chama kikuu cha ushirika Tunduru kinawasihi wakulima kuendelea kukusanya na kuuza mazao yao kupitia mfumo wa Stakabadhi ghalani,ambao kwa sasa umekuwa mkombozi kwa Mkulima.

Imeandaliwa na Orpa Kijanda,Kaimu Mkuu Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.


Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.