• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

STAKABADHI ghalani ni Mkombozi kwa Mkulima.

Imewekwa : September 13th, 2023

Mfumo wa stakabadhi ghalani ni mfumo ambao umekuwa na manufaa makubwa kwa wakulima na wadau wa masoko ya mazao. Mfumo huu umesaidia kujenga uhusiano mzuri na wa haki kati ya mkulima na mnunuzi wa mazao. Kabla ya mfumo huu, kulikuwa na unyonyaji ambapo wakulima walikuwa wanauza mazao yao kwa bei ya chini sana.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, alitoa kauli hii katika mkutano wa jukwaa la mifumo ya chakula Africa (AGRF 2023). Alisisitiza kuwa mfumo wa stakabadhi ghalani umekuwa kiunganishi kizuri baina ya wakulima na soko, na umesaidia kuondoa unyonyaji uliokuwepo hapo awali.

Pichani ni Zao la Mbaazi


Mfumo huu umewaletea manufaa makubwa wakulima, hasa katika Wilaya ya Tunduru. Kwa msimu huu, mkulima wa ufuta ameweza kuuza kwa bei isiyopungua shilingi 3,000 kwa kilo moja, na mkulima wa mbaazi ameweza kuuza si chini ya shilingi 1,500 kwa kilo moja. Hii ni bei nzuri na inawawezesha wakulima kupata faida kubwa zaidi.

Pichani ni Zao la Ufuta


Serikali chini ya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe, Dkt.Samia Suluhu Hassan imechukua hatua za kuboresha miundombinu na mifumo ya kuwezesha mfumo huu wa stakabadhi ghalani. Hatua hizi ni muhimu ili kuhakikisha kuwa kuna muunganiko mzuri baina ya mkulima na mnunuzi wa mazao. Hatua hizi zitawasaidia wakulima kupata masoko bora zaidi na kuondokana na unyonyaji.

Pichani ni Zao la Korosho


Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru ni miongoni mwa Wilaya zinazoongoza katika kilimo cha zao la Korosho,Ufuta na Mbaazi. Jitihada zake za kuboresha kilimo, kutoa Elimu kwa wakulima, kuimarisha masoko ya ndani na nje zimeleta mafanikio makubwa na kuleta maendeleo ya kiuchumi.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.