• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

SIKU tatu za kliniki za Ardhi Tunduru.

Imewekwa : October 10th, 2023

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ikiongozwa na Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Ruvuma Bwana. Saidi Juma Kijiji inaendesha zoezi la kliniki za ardhi katika Wilaya ya Tunduru.

Zoezi hili litaendelea kwa siku tatu, kuanzia tarehe 10 hadi 12 Oktoba 2023, lengo ni kutoa huduma kwa wananchi wa Tunduru, ikiwa ni pamoja na, kutoa hati ya papo kwa hapo kwa wananchi ambao wamekidhi vigezo, kusikiliza malalamiko ya ardhi na kutoa Ankara kwa wananchi wanaohitaji kupata hati na kupata kodi ya ardhi, na huduma nyingine za Ardhi kama utoaji wa mipango ya matumizi ya ardhi, utoaji wa vibali vya ujenzi, utoaji wa hati za udhamini na utoaji wa hati za uhamisho wa ardhi.

Akizunguza katika ufunguzi wa zoezi hilo ofisi za ardhi wilayani Tunduru, Bwana Saidi Juma Kijiji alisema kwamba, Serikali inahakikisha hati zinapatikana kwa urahisi zaidi, imeboresha mfumo wa usajili wa ardhi ili uweze kutoa hati haraka kwa wananchi wake. Vilevile,imepunguza gharama za umilikishwaji wa ardhi tofauti na ilivyokuwa hapo awali.

“Faida mojawapo za hati ni kupunguza migogoro na kuongeza usalama wa ardhi, kwakuwa itakuwa imepangwa na kupimwa,” Alisema “Wananchi wote waliopimiwa ardhi wafike ofisi za ardhi ili waweze kukamilisha taratibu za umilikishwaji na kupatiwa hati miliki”

Zoezi la kliniki za ardhi litasaidia kutoa huduma kwa wananchi wa Wilaya ya Tunduru kwa uharaka zaidi. Hati ni mali, kwakuwa itampatia mwananchi uhakika wa umiliki wa ardhi yake, inaweza kusaidia katika kupata mikopo kutoka benki na taasisi nyingine za kifedha.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.