• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

SALAMU za Pongezi

Imewekwa : March 19th, 2024

Baraza la Madiwani, Menejimenti na Watumishi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru wanapenda kukupongeza kwa dhati Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza miaka mitatu tangu ulipoapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, tumeona maendeleo makubwa Wilayani Tunduru katika sekta mbalimbali. Tunashukuru sana kwa kuleta fedha nyingi zilizofanikisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo kama vile ujenzi wa shule mpya, ukarabati wa Hospitali ya Wilaya na ujenzi wa Zahanati katika maeneo ya vijijini, na uimarishaji wa sekta ya kilimo ambacho ni uti wa mgongo, na kwa kuwa ni chanzo kikuu cha uchumi wa Wananchi wa Wilaya ya Tunduru. Miundombinu hii imeboresha kwa kiwango kikubwa sana maisha ya wananchi wa Tunduru na imeleta mabadiliko makubwa katika wilaya yetu.

Hospitali ya Wilaya ya Tunduru iliyofanyiwa ukarabati na Serikali ya awamu ya sita, inaendelea kutoa huduma zake kikamilifu.

Pichani: Muonekano wa moja kati ya Shule za Msingi Mpya zilizojengwa kupitia mradi wa Boost, mradi huu umetekelezwa ndani ya miaka mitatu ya Uongozi wa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, Rais wa awamu ya sita.

Tunathamini sana uongozi wako thabiti na dhamira yako ya dhati ya kuleta maendeleo kwa Watanzania wote. Tunaamini uongozi wako utaendelea kuleta mafanikio makubwa zaidi kwa taifa letu katika miaka ijayo.

Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru inafurahi sana kuungana na Watanzania wote katika kusherehekea mafanikio makubwa yaliyopatikana chini ya uongozi wako bora.

Tunakutakia kila la kheri katika kuendelea kutekeleza majukumu yako mazito ya kuongoza taifa letu. Tunakuhakikishia ushirikiano kamili katika kuunga mkono juhudi zako za kuleta maendeleo kwa Watanzania wote.

Mungu ibariki Tanzania.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • SULUHU YA KUDUMU Maji Tunduru Yapatikana: Mkataba Wa Bilioni 3.2 Wasainiwa

    May 07, 2025
  • BODI Ya Wakurugenzi wa Mamlaka Ya Maji Na Usafi Wa Mazingira Tunduru (TUUWASA) Yazinduliwa

    May 07, 2025
  • TUNDURU Yajizatiti Kukabiliana na Ugonjwa wa Mpox.

    March 27, 2025
  • TUNDURU Yaungana katika Dua na Iftar

    March 24, 2025
  • Ona Zote

Video

WANANCHI WAENDELEA KUPATIWA MAFUNZO KWA VITENDO ILI KUTATUA MIGONGANO YA BINADAMU NA WANYAPORI.
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.