• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

SERIKALI MKOANI RUVUMA YATAFUTA UFUMBUZI WA WANYAMA WAHARIBIFU

Imewekwa : September 10th, 2017

Hayo yamesemwa na mkuu wa mkoa wa Ruvuma dk Bilinith S Mahenge katika mkutano wa hadhara aliyofanya na wananchi wa tarafa ya Matengama katika kata za Jakika na Kalulu ambazo zimeathiriwa kwa kiasi kikibwa na wanyama waharibifu wanaovamia makazi ya wananchi na kusababisha mauji na uharibufu wa mazao mashambani.

Aidha alisema serikali inamthamini binadamu kuliko wanyama na binadamu ndio wenye utashi na wamepewa mamlaka ya kutawala na viumbe vyote na kutawala mazingira hivyo binadamu ni muhimu sana "niwaombe wananchi mtambue kuwa serikali inawathamini sana binadamu kuliko wanyama na niawaombe mufute kauli ya kuwa serikali inathamani tembo kuliko maisha yenu" alisema Dk Mahenge.

aliendelea kusema kuwa serikali inafanya kazi mchana na usiku kuleta maendeleo kwa wananchi wake na anaomba ushirikiano kutoka kwa wananchi ili kutekeleza wajibu wao kwa wananchi katika hali ya utulivu na amani na yapo majukumu ambayo serikali inatakiwa kuyatekeleza kwa wananchi lakini kuna sehemu nyingine ambayo ni kya wananchi kutekeleza hivyo ni vyema kila mtu akafanya kwa sehemu yake ili kuchochea maendeleo.

Mkuu wa Mkoa aliendelea kusema kuwa kuna baadhi ya viongozi wa vijiji ambao sio waaminifu na wamefikisha halmashauri ya wilaya ya Tunduru na Mkoa wa Ruvuma katika hali mbaya kwa kuhalalisha makundi makubwa ya mifugo kuingia katika hifadhi za taifa, mapori ya Akiba na Misitu ya Hifadhi ya Jamii hali inayosababisha wanyamapori hususani Tembo kuhama katika makazi yake na kuvamia makazi ya wananchi na kuleta madhara makubwa ya uharibifu wa mashamba ya wakulima na mauji ya raia.

alisema mpaka kufikia agosti 30 mwaka 2017 jumla ya vifo 

serikali imeona uharibifu huo na imepanga mipango mikakati ya kuweza kulimaliza tatizo la wanyama waharibifu kutoka katika taasisi zinazosimamia wanyamapori ndani ya wilaya ya tunduru kwa kushirikiana na serikali, wadau kutoka vokosi vya PAMS Foundation, KDU kanda ya Kusini, WWF kanda ya kusini, wahifadhi pori la akiba seleous, Jumuiya za Nalika na Chingoli pamoja na askari wanyama pori Halmashauri.



Askari wanyama  pori katika kambi ya  pori la akiba la selous kanda ya kusini wakimsikiliza mkuu wa mkoa  wa Ruvuma DK binilith S Mahenge wakati wa ziara ya  kamati ya ulinzi na usalama Mkoa na wilaya ya Tunduru, na wadau wa uhifadhi wa wanyamapori waliopo wilayani Tunduru ya kupanga mikakati ya kuwakabili wanyama waharibifu hususani Tembo na fisi katika Halmashauri ya wilaya ya Tunduru.


Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.