• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MKUTANO maalumu wa kujadili hesabu za Fedha mwaka ulioishia 30,Juni 2023

Imewekwa : August 28th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru imefanya mkutano maalumu wa  kufunga hesabu za fedha kwa mwaka 2022/2023, kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa inayozitaka Halmashauri nchini kufunga hesabu na kuwasilisha kwa mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG).

Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mh. Hairu Mussa alisema, Halmashauri ilikusanya kutoka vyanzo vyake (own source) zaid ya shilingi bilioni 4.3 ambayo ni sawa na asilimia 93 ya makisio ya mwaka shilingi bilioni 4.7.

Kutokana na utekelezaji mzuri wa miradi mbalimbali ya maendeleo, rasilimali za muda mrefu na mfupi za Halmashauri zimepanda thamani toka zaidi ya shilingi milioni 65 kwa mwaka wa fedha 2021/2022 hadi kufikia zaidi ya shilingi milioni 70 kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

“Mapato tunayokusanya tunahakikisha ,yanaenda katika atekelezaji wa miradi ya maendeleo  katika maeneo yetu ya  kata na vijiji kuboresha huduma za jamii”

Akifafanua taarifa hiyo, ndugu Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Wilaya ya Tunduru ndugu  Masanja Kengese, amesema kwa mwaka wa fedha 2023/2024 Halmashauri imejiwekea malengo ya kukusanya kiasi cha fedha  shilingi bilioni 4.8.

“Rai yangu kwa waheshimiwa madiwani kuweza kushirikiana na halmashauri katika kudhibiti mapato, ukizingatia mapato ya halmashauri ya wilaya ya Tunduru yanapatikana kupitia mazao, hivyo, tunawaomba waheshimiwa madiwani kusaidia kudhibiti utoroshaji wa mazao”. Alisema.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti waheshimiwa madiwani  Said Kiosa(kata ya Nanjoka) na Daudi Amlima (kata ya Nakayaya)  wameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya  Mheshimiwa, Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuboresha miundombinu ya Wilaya ya Tunduru.

Halmahauri ya wilaya ya Tunduru ina Tarafa 7 ,kata 39 ,vijiji 157 na vitongoji 1179 ,Serikali ya Halmashauri  ya wilaya ya Tunduru inahakikisha  maeneo yote yanafikiwa na huduma  za jamii kupitia mapato ya ndani na mapato kutoka Serikali kuu.


Imeandaliwa na Orpa Kijanda,Kaimu Mkuu Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.

28/08/2023.


Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.