• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MKURUGENZI Tunduru aagiza Ujenzi ufanyike kwa masaa 24.

Imewekwa : September 12th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Chiza C. Marando ametoa maelekezo kuwa ujenzi ufanyike kwa masaa 24 ili kuhakikisha miradi yote inakamilika kabla ya tarehe 30/09/2023.

Agizo hili amelitoa tarehe 11/09/2023 Katika ziara ya kikazi ya kukagua na kutembelea miradi ya maendeleo katika kata ya Nakapanya, Tuwemacho, Tinginya na Ligoma zilizopo Wilayani Tunduru. Mkurugenzi Mtendaji amesisitiza umuhimu wa kamati ya ujenzi pamoja na wataalamu kushirikiana ipasavyo na kuwasimamia wajenzi ili kazi ifanyike kwa ufanisi na kumalizika kwa wakati uliopangwa. Ushirikiano na usimamizi wa karibu utahakikisha kuwa miradi ya maendeleo inakidhi viwango na inakamilika kwa wakati uliopangwa.

“kuwepo na ushirikiano mzuri baina ya wataalamu, kamati ya ujenzi na wajenzi ni muhimu sana ili ujenzi ukamilike vizuri. Ni muhimu sana timu hii iwe tayari kutafuta suluhisho la haraka pale ambapo tatizo linatokea ili kupunguza madhara yanayoweza tokea, nitahakikisha umeme unakuwepo muda wote ili ujenzi uendelee kufanyika kwa masaa yote 24”.  Mkurugenzi Mtendaji alisisitiza.

Kukamilisha miradi ya maendeleo ni jambo muhimu sana kwani huathiri moja kwa moja maisha ya wananchi. Kupitia ukaguzi wa mara kwa mara, wilaya ya Tunduru itakuwa na uhakika kwamba mradi unatekelezeka vizuri bila matatizo yoyote. Wananchi watakuwa na imani zaidi kwamba Serikali yao inafanya juhudi za dhati za kukidhi mahitaji yao.

Hata hivyo, ukaguzi wa miradi ya maendeleo ni hatua muhimu sana katika kudhibiti utekelezaji wa miradi hiyo. Kwa hiyo, Mkurugenzi Mtendaji ameonesha nia ya kufuatilia maendeleo ya miradi na kuhakikisha kuwa hakuna ucheleweshaji au upungufu wowote. Hatua hii itasaidia kuimarisha ufanisi katika utekelezaji wa miradi huku ikiruhusu wilaya ya Tunduru kukamilisha miradi yake ya maendeleo kwa wakati uliopangwa.

Imeandaliwa na Orpa Kijanda,Kaimu Mkuu Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.