• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MILIONI 405,672,510.00 KUPUNGUZA CHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA VYUMBA VYA MADARASA KATIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI

Imewekwa : December 19th, 2019

Tunduru                           19/12/2019

Halmashauri inatarajia kujenga vyumba Zaidi ya 30 vya madarasa katika shule za sekondari na msingi ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa vyumba vya madarasa kwa ajili ya kupokea wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2020 pamoja na kupunguza msongamano katika shule za msingi wilayani Tunduru.

Akiwasilisha bajeti ya ujenzi wa vyumba hivyo vya madarasa katika kikao cha kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Ndg. Jumanne Mwankhoo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg Gasper Z. Balyomi amesema upungufu huu umesababishwa na ongozeko kubwa la ufaulu wa wanafunzi katika mtihani wa kuhitimu darasa la saba kwa mwaka 2019.

Aliendelea kufafanua kuwa jumla ya wanafunzi 4959 waliofanya mtihani wa darasa la saba wamefaulu na kupangiwa shule hivyo kuwa na upungufu wa vyumba Zaidi ya 80 katika shule za sekondari  wilayani Tunduru.

“wanafuzni 4959 wamepangwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2020 lakini miongoni mwa hao ni wanafunzi 1520 pekee ndio waliopata vyumba vya madarasa na zaidi ya wanafunzi 3439 hawatakuwa na madarasa hivyo kufanya kuwa na upungufu wa Zaidi ya vyumba 86” alisema Afisa Mipango.

Mwankhoo amesema  fedha hizi zitatumika katika ujenzi wa vyumba 33 vya madarasa kwa elimu sekondari na msingi, ukamilishaji wa daharia katika shule mbili za sekondari za Nakapanya na Masonya na ujenzi wa matundu 66 ya vyoo katika shule za msingi 11 za Likweso, Chikomo, Misufini, Chiwana, Msinji, Machemba, Chajila, Mkandu, Nasya, Ipanji na Mbati ya leo.

Aidha fedha hizo zimetokana na makusanyo ya mfuko wa maendeleo wa wilaya ya Tunduru ulioanzishwa kwa ajili ya kutatua changamoto mbalimbali lakini kipaumbele kikiwekwa katika kujenga vyumba vya madarasa, matundu ya vyoo na samani zake katika shule za sekondari na msingi.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.