• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MIAKA 59 YA MUUNGANO,TUNDURU INAPINGA UKATILI, ELIMU IMETOLEWA SHULE YA SEKONDARI FRANK WESTONE.

Imewekwa : April 28th, 2023

Katika mwendelezo wa kusherekea maadhimisho ya muungano wa Tanganyika na Zanzibari kupitia Idara ya Afya kitengo cha Ustawi wa Jamii leo Ijumaa tarehe 28/05/2023 imeweka Kambi Shule ya Sekondari Frank westone imendelea kutoa Elimu kwa jamii kuusu aina mbalimbali za Ukatili unaoendelea kwenye Jamii yetu ikiwemo kukemea  tendo la Ushoga na Usagaji.

Akiongea Afisa Ustawi wa Jamii Wilaya ya Tunduru Bi. Blandina Sekela alisema”Ukatili ni tendo lolote lile ambalo anafanyiwa mtu ambalo litamuhathili Kisakolojia ,Kimwili,Kijamii na Kiuchumi ili uitwe Ukatili ni lazima Mtu amfanyie Mtu mwenzake”.

 “Kuna aina Mbalimbali  za Ukatili ikiwemo Kupigwa,Kuchomwa Moto,Kukatwa mwili,Kusukumana,Maneno ya kejeli  kama Shoga,Demu,Buzi  N.k yote ni hayo ni Ukatili,Pia ninawaeleza Ukweli Watoto wangu wa Frank Westone la Ushoga na Usagaji havikubaliki kabisa katika Jamii kwani kwa Watoto wa Kiume vitawasababishia Madhara makubwa sana mbele ya Safari kwahiyo kwa mwanafunzi yeyote ambae ataona kuna dalili ya rafiki yake zinaonyesha anashiriki Vitendo hivyo  basi atoe taarifa katika kitengo cha Ustawi wa Jamii au kwa Mwalimu yeyote wa Jirani kwa lengo la kumsaidia mwanafunzi huyo” alisema Blandina.

Mwl Donald Kjasembe Katibu wa Smaujata alisema”Wanaume na Wavulana tujitaidi kutunza malinda yetu maana kwa Mwanaume akiruhusu kutolewa malinda ni hari ya hatari kwani mwanaume ni kichwa cha familia kwa kamwe tusikubali kuleft group na kuruhusu Wajanja wachache kutufanyia Ukatili huo pia mtu yeyote akifanyiwa ukatili hatakiwi kukaa kimya bali anaweza kwenda kutoa taarifa kwenye kituo cha Afay,Polisi au Kwenye Ofisi za Ustawi wa Jamii”.


Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.