• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA -KITAIFA TUNDURU

Imewekwa : September 22nd, 2017

Kilele cha maadhimisho ya juma la elimu ya watu wazima yamefanyika kitaifa katika mkoa wa Ruvuma wilayani tunduru tarehe 21/09/2019 ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Tawala mkoa wa Ruvuma Ndg Hassan M Bendeyeko aliyemuwakilisha Naibu Waziri Wizara ya Elimu Sayansi na Teknilojia Mh.Eng Stella Manyanya.yenye kauli mbiu ya kisomo katika Ulimwengu wa Sayansi na Teknolojia kwa maendeleo ya nchi.

Alisema katika sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 mkoa wa ruvuma ulikuwa na jumla ya wananchi wasiojua kusoma na kuandika wapatao milioni 72,713 na kwa tunduru peke yake ni 32,330 ndio sababu kubwa ya serikali kufanya maamuzi ya kuleta maadhimisho haya katika wilaya ya tunduru ili kuleta msukumo kwa wananchi kujuiunga na elimu ya watu wazima na elimu nje ya mfumo rasmi kwa waliokosa.

Mgeni rasmi aliendelea kusema nchi inapoelekea kwenye uchumi wa kati na viwanda yapo madhara mengi yatakayolikumba taifa kama wananchi hawatakuwa wanajua kusoma, kuhesabu na kuandika kwani kuna mabadiliko makubwa sana ya sayansi na teknolojia yanayaojitokeza kwa kasi na ili kuendana nayo wananchi wanatakiwa kuwekeza katika elimu na kupata wataalam waliobobea katika fani tofauti tofauti.

Alisisitiza jamii ya watanzania wasiojua kusoma, kuhesabu na kuandika kujitokeza kwa wingi na wasione haya kwani wanakosa fursa nyingi na haki zao kutokana na kukosa stadi hizo, kwani serikali ya mkoa wa ruvuma ilijiwekea malengo hadi kufika 2020 kupunguza au kufuta kabisa tatizo la ujinga kwa wananchi wake.

Mgeni rasmi aliziagiza maafisa elimu wa mikoa yote nchini wa tanzania bara na hata visiwani kuhakikisha kuwa wanaanzisha madarasa ya elimu ya watu wazima  kote nchini  tunapoelekea katika uchaguzi mkuu 2020 tuhakikishe kuwa wananchi wetu wananjua kusoma na kuandika ili kuondoa udanganyifu unaweza kutumika kutokana na dhana ya usiri kupotea kwa sababu kutokujua kusoma na kuandika.

Alimalizia kwa kupongeza uongozi wa halmashauri ya wilaya ya tunduru kwa usimamizi mzuri katika sekta ya elimu kwani wamekuwa na muamko mkubwa sana katika elimu alisema "mwaka 2012 wilaya ya tunduru ilikuwa inashika nafasi ya mwiisho kimkoa na ufaulu wake ulikuwa asilimia 91.9 lakini wamefanya jitihada na sasa ufaulu umepanda hadi kufikia asilimia 67.7 kwa mwaka 2015 katika matokeo ya mtihani ya darasa la saba na kidato cha nne pia.

pia mgengi rasmi alikabidhi zawadi za ngao na vyeti kwa shule zilizofanya vizuri katika mitihani ya darasa la saba na kidato cha nne kwa Halmashauri zote nane za mkoa wa Ruvuma, za Nyasa, Mbinga tc, Mbinga dc, Madaba, Songea manispaa, Songea vijiji, Namtumbo na Tunduru

Aidha aliwataka wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wote bara na visiwani kusimamia utekelezaji wa elimu ya watu wazima katika maeneo yao ya utendaji kwani wananchi wanapokuwa na uelewa inakuwa njia rahisi sana kwao kuweza kupata haki zao, kufanya usimamizi wa maendeleo ya watoto wao mashuleni, kuwa na uwezo wa kuhoji na kudai haki zao za msingi na hata kushiriki katika miradi ya maendeleo inayotekelezwa na kujiletea maendeleo kwa mtu mmoja mmoja.


Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.