• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Umeme Jua kubadilisha Maisha ya wanakulumbule

Imewekwa : October 25th, 2018

Akiwa katika ziara ya siku mbili wilayani Tunduru mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bi Christina Mndeme ametembelea mradi wa uzalishaji wa umeme jua unaotekelezwa na kampuni ya power corner katika kijiji cha Lukumbule kwa shilingi milioni 849,455,600.00 unaotaraji kutoa huduma kwa wananchi wapatao 600 utakapokamilika.

Akiwa katika kituo cha uzalishaji wa umeme jua cha kampuni ya power corner Bi. Mndeme alitoa pongezi kwa kampuni hiyo kuunga mkono juhudi za serikali za kuwaletea maendeleo wananchi na kusogeza huduma karibu na wananchi.

Aidha aliwataka wananchi wa kijiji cha Lukumbule kuchangamkia fursa hiyo ya Umeme Jua katika kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kuongeza kipato “ni fursa sasa ya kufungua viwanda vidogo kama vya kutengeneza juice, seremala, saloon”

Mitambo ya Uzalishaji Umeme jua iliyosimikwa katika kijiji cha Lukumbule, yenye uwezo wa kuzalisha Umeme jua wa Msongo wa kilowatts 40.2

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi huo meneja mradi wa power corner kanda ya kusini alisema kituo cha uzalishaji Umeme Jua kina uwezo wa kuzalisha Umeme wenye Msongo wa Kilowatts 40.2 wenye uwezo wa kusambazwa kwa wananchi au wakazi zaidi ya 500 katika kijiji cha Lukumbule, hadi octoba 2018  kampuni imeunganisha  umeme kwa wananchi wapatao 141 kati ya 400 ikiwa ni kuunga mkono juhudi za serikali za kuhakikisha kila mtanzania anapata huduma bora za kijamii mojawapo ikiwa Umeme.

Aliendelea kusema kuwa kampuni ya power corner  ina miradi ipatayo 14 kwa nchi nzima lakini kwa mkoa wa Ruvuma wapo katika halmashauri ya Tunduru kutoa huduma katika kijiji cha Lukumbule, Misyaje na Marumba ili kuendana na sera ya uchumi wa kati ifikapo 2025 na serikali ya viwanda wananchi hawana budi kupelekewa nishati ya umeme karibu.

Meneja mradi wa Power Corner kanda ya Kusini akipeana mkono na Mkuu wa Mkoa wa Ruuvuma Bi. Chritina Mndeme baada ya kusoma taarifa ya utekelezaji wa mradi wa Umeme Jua.

Alisema miongoni mwa faida ambazo mwananchi /mteja  atapata ni pamoja huduma ya kuimarisha usalama wa raia na mali zao, wananchi kuanzisha viwanda vidogo,mafundi seremala kutumia nishati ya umeme katika kazi zao na kutoa elimu kwa watoto  wadogo katika kituo cha power corner kwa njia ya runinga kwa kutumia CD za ubongo kids.

Hata hivyo power corner imeahidi kufunga umeme katika pampu ya kusukuma  maji  Lukumbule ili kurahisha gharama za uendeshaji za mradi huo ambao kwa sasa umesimama kutokana na wananchi kushindwa kuchangia gharama uendeshaji wa jenereta la Diseli.

Imeandaliwa

Theresia Mallya

Afisa Habari na Mawasiliano

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.