• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Kamati ya Ulinzi wa wanawake na Watoto yachagizwa

Imewekwa : May 11th, 2018

Kamati ya ulinzi wa wanawake na Watoto wilayani Tunduru wachagizwa kwa mafunzo ya kuwajengea uwezo ili kuleteleza uelewa wa pamoja katika jamii ya usawa wa jinsia na vita ya ukatili dhidi ya wanawake na Watoto. 

Akizungumza na wajumbe wa kamati ya ulinzi wa wanawake na watoto halmashauri ya wilaya ya Tunduru wakati wa kufunga mafunzo yaliyodumu kwa muda wa siku tatu Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya tunduru ndg Chiza Cyprian Marando amesema Mafunzo haya yamekuja wakati sahihi kwani vitendo vya unyanyasaji na ukatili dhidi ya wanawake na watoto vinaendelea kila siku katika jamii na hakuna mtu wa kuwasemesea.

Ndg marando aliendlea kusema kuwa kumekuwa na kamati nyingi sana zinaanzishwa kwa ajili ya kulinda haki za watoto na wanawake lakini zinakuwa sio endelevu lakini atahakikisha kuwa kamati ya ulinzi wa wanawake na watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasaji na ukatili inafanya kazi yake ili kwenda kubadilisha jamii ya Tunduru. "Imekuwa ni kawaida kuanzishwa kwa madawati mengi ya masuala ya jinsia ambayo yanakuwa hayafanyi kazi yake, lakini kwa kamati hii ya ulinzi wa wanawake na watoto dhidi ya unyanyasaji na ukatili inatekeleza majukumu yake, na kila mjumbe kufanya katika sehemu yake kutoa elimu kwa jamii"

vile vile Ndg Chiza Marando aliendelea kusema kuwa Tunduru inakumbana na changamoto ya mila na desturi potofu ambazo zinasababisha ukosefu wa usawa wa kijinsia na zaidi hata katika malezi kwa watoto kuwa ni magumu sana hivyo kwa kuanzishwa kwa kamati hii kutasaidia kupunguza kabisa matatizo ya malezi na makuzi ya watoto.

Pia kamati hii itapata fursa ya kwenda kutoa elimu kwa jamii, ambayo inabadilisha kabisa mtazamo wa jamii kupunguza janga la ndoa za utotoni na mimba mashuleni

Kaimu Mkurugenzi halamashauri ya wilaya ya Tunduru Ndg Chiza Cyprian Marando akiongeza na washiriki wa mafunzo ya kamati ya ulinzi wa wananwake na watoto halmashauri ya Tunduru wakati wa kufunga mafunzo yaliyodumu kwa muda wa siku, katika ukumbi wa hospitali ya wilaya Tunduru.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.