• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA KUFANYIKA TUNDURU KITAIFA

Imewekwa : September 13th, 2017

Maandalizi ya maadhimisho ya juma la Elimu Watu Wazima wilayani Tunduru yaendelea kwa Afisa Elimu Watu Wazima na Elimu Nje ya  Mfumo rasmi kutembelea vituo vya elimu ya watu wazima kuzungumza na wanakisomo juu ya maandalizi na umuhimu wa maadhimisho hayo katika wilaya ya Tunduru

Afisa Elimu watu wazima na elimu nje ya mfumo rasmi Mwalimu Musa  Nkolabigawa alisema maadhimisho ya juma la elimu ya watu wazima huadhimishwa kila mwaka kuanzia tarehe 01 septemba hadi 08 kila mwaka kidunia lakini kitaifa maadhimisho haya yatafanyika tarehe 21 ikiwa ndio kilele na itafanyika mkoani Ruvuma katika wilaya ya Tunduru.

alisema maadhimisho haya yana kauli mbiu ya  "KISOMO KATIKA ULIMWENGU WA SAYANSI NA TEKNOLOJIA KWA MAENDELEO YA NCHI" mbayo inalenga katika kuhakikisha kuwa watu wote wananpata fursa sawa ya kujua kusoma, kuhesabu na kuandika na maadhimisho haya kwa wilaya  ya tunduru yatakuwa na manufaa sana kutokana na uwepo mkubwa wa watu wazima na vijana ambao hawajui kusoma nakuandika na wengine hawakupata fursa kutokana na ukosefu wa rasilikmali hasa fedha kutokana na elimu ilikuwa inatolewa kwa mfumo wa malipo.

Wanakisomo kutoka shule ya msingi Nalasi waliishukuru serikali kuwapelekea fursa ya kujiendleza kutokana na kupata changamoto kubwa sana hasa katika mawasiliano, miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao zinatolewa wanakosa kutokana na kutokujua kusoma na kuandika.

"unakuta kata bili ya maji unashindwa kusoma mpaka akaitwe jirani kuja kusoma wakati nyumbani nipo lakini kwa sababu sijui kusoma na kuandika inakuwa changamoto, kusoma meseji kwenye simu nayo ni shida vile vile, hivyo kwa mfumo huu wa kusoma kisomo cha manufaa kitatusaidia sana katika kupata haki zetu na hata kufanikiwa kiuchumi kwani ukiona watu waliosoma wana maendeleo zaidi ya wale ambao hatujasoma"

Darasa la kisomo katika kata ya mbesa la shule za msingi za Airpot na Mbesa wakimsikiliza Afisa Elimu watu wazima na elimu nje ya mfumo rasmi Mwalimu Musa Nkolabigawa wakati alipotembelea darasa hilo mapema wiki hii, katika maandalizi ya Maadhimisho ya Juma la Elimu ya watu wazima ambayo kilele chake kitafanyika wilyani Tunduru katika Mkoa wa Ruvuma Kitaifa tarehe 21.09.2017


Afisa Elimu watu wazima wilayani tunduru mwalimu musa nkolabigawa akizungumza na vijana ambao hawakupata fursa ya elimu ya msingi na sekondari katika kata ya nalasi mapema wiki wakati alipowatembelea kukagua utekelezaji wa uendelezaji wa madarasa ya elimu ya watu wazima kwa watu waliokosa nafasi ya kupata elimu ya msingi na sekondari katika wilaya ya Tunduru.

katika picha ni baadhi ya vijana ambao waliokosa fursa ya kupata elimu na wamejitokeza

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.