• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

HOSPITALI YA WILAYA TUNDURU YAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA

Imewekwa : June 14th, 2017

 

Hayo yamesemwa na Mganga mfawidhi hospitali ya wilaya ya Tunduru Dk Gaufredy Mvile wakati akiwapokea madaktari bingwa kutoka mkoani wa kutibu magonjwa ya kinamama

Halmashauri ya wilaya ya Tunduru kupitia idara afya imeelendelea na zoezi la kutoa huduma za afya kwa jamii kwa kuendelea kuwaleta madaktari bingwa  wa magonjwa mbalimbali ili kusogeza huduma karibu za wananchi.

Akitoa taarifa ya ujio wa madaktari bingwa kutoka Mkoani Mganga  Mfawidhi wa hospitali ya wilaya Dk Gaufredy Mvile alisema tumepokea madaktari bingwa kwa awamu mbili  Kuanzia terehe 10/05/2017 hospitali ya wilaya imepokea madaktari bingwa wa magonjwa ya upasuaji kama Mabusha, Goita na Vimbe mbali mbali, pia walikuwepo madaktari bingwa walifanya uchunguzi wa magonjwa ya nje kama Pressure, Sukari, shinikizo la juu (hypertension)

Na wiki hii hospitali ya wilaya ya Tunduru imepokea madaktari bingwa wa magonjwa ndani ya kinamama hivyo wanatoa huduma kuanzia tarehe 12/06 hadi tarehe 16/ 06 2017 na watafanya uchunguzi kwa wagonjwa wenye magojwa makubwa kama vimbe na mengineyo  ili kuwafanyia upasuaji.

pia hospitali imepokea waganga wa kufanya tohara kwa watoto wenye umri wa kuanzia miaka 10 na kuendelea kwa sababu ni kundi ambalo lipo katika rika hatarishi  kuweza kupata maambiki ya viruzi  vya ukimwi na wakifanyiwa upasuaji unapunguza kwa asilimia 60 ya maambukizi.

Upasuaji huu unafanyika katika vituo mbalimbali ambavyo waganga watakuwepo klwa ajili ya kutoa huduma ya tohara, vituo hivyo ni nakapanya, nandembo, mkasale, mtina, huria, nalasi na katika hospitali ya wilaya.

Zoezi hili limefadhiliwa na shirika la WRP kwa kushirikiana na USA Aid wakiwa na lengo la kupunguza maambikizi mapya kwa vijana kwani vijana kuanzia miaka 10 na kuendelea ambao hawajafanyiwa tohara wako katika hatari kubwa ya kupata maambiki hivyo kuwafanyia upasuaji huo kwa asilimia kubwa serikali itafanikiwa kupunguza maabukizi alisema Dk Gaufredy Mvile.

Mganda mfawidhi aliendelea kusema kuwa kwa Tunduru wamepata changamoto kubwa sana kutoka na baadhi ya wazazi kuwaleta watoto walio chini ya miaka 10 hivyo kuleta usumbufu mkubwa kwa sababu shirika limewalenga kutoa huduma bure bila ya malipo kwa kundi lilotajwa.

Mganga Mfawidhi hospitali ya wilaya ya Tunduru Dk Gaufredy Mvile wa pili kutoka kushoto akiwa katika picha ya pamoja na waganga wa upasuaji wa tohara katika kampeni za kupunguza maambikizi ya Viruzi vya Ukimwi nchini inayoendeshwa na wizara ya afya jinsia wazee na watoto  kwa kushirikiana na shirika la WRP na JHPIEGO. kutoka kushoto ni Dk kassimu malokotana, wa pili kutoka kushoto ni Dk Gaufredy Mvile mganga Mfawidhi (W), akifuatiwa na Dk pancras Komba na Dk Rose Mbawala wote kutoka wilaya ya Mbinga.

Imetolewa

Theresia Mallya

Afisa Habari (W)


Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.