• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Hatutaki wakandarasi wanaokwamisha Miradi

Imewekwa : October 7th, 2018

“Serikali ya Jamhuri ya Tanzania inafanya jitihada za kila hali katika kumtua mwanamke ndoo lakini kuna baadhi wa wakandarasi wenye nia ovu wanaturudisha nyuma kwa kuchelewesha miradi ya maji”alisema mkuu wa mkoa wa Christina Mndeme akiwa ziarani Tunduru.

Hayo yamesemwa na mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bi Christina Mndeme akiwa katika ziara ya siku mbili wilayani Tunduru katika kata ya Mtina Jimbo la Tunduru Kusini wakati akikagua ujenzi wa miundombinu ya maji, mradi unaofadhiliwa na benki ya Dunia.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Bi Christina Mndeme  (anayeangalia juu) akitoa maagizo kwa mkandarasi anayetekeleza mradi wa maji Mtina kufanya kazi hadi siku za jumamaosi na jumapili ili mradi huo kukamilika ndani ya muda wa mkataba ambapo

Alipokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya utekelezaji wa mradi kwa kipindi cha takribani  miaka sita bila kukamilika na kutoa huduma kwa wananchi hivyo kukwamisha azima ya serikali ya kumtua mama ndoo kichwani, na kuongeza uzalishaji ili kufikia uchumi wa kati ifakapo 2025.

Bi mndeme alimuagiza mhandishi wa maji wilaya ya Tunduru kuhakikisha kuwa mradi wa maji unakamilika kabla ya tarehe 18 octoba 2018 kulingana na mkataba na thamani ya fedha izingatiwe, alisema “naomba mpaka ifikapo octoba 18/2018 mkandarasi kukabidhi mradi huu na kasi ya utekelezaji inongezeke fanya kazi hadi siku za jumamosi na jumapili ili kumaliza kazi”

Mhandisi wa maji Halmashauri ya Tunduru Ndg Bartolomeo Matwiga akitoa taarifa ya utekelezaji wa mradi wa maji mtina kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Bi Christina Mndeme alipotembelea mradi huo akiwa katika ziara ya siku mbili wilayani Tunduru,

Mradi wa maji mtina ulianza kutekelezwa kuanzia mwaka 2013/2013 hadi sasa upo katika hatua za umaliziaji ambapo kumekuwa  na changamoto nyingi sana ikiwa ni pamoja na kuvunjwa kwa mkabata mwaka 2017 kutoka na mkandarasi kushindwa kutimiza masharti.

Mradi wa maji Mtina unaotekelezwa na kampuni Kihanga farm transport and general co.ltd unataraji kutoa huduma kwa wananchi wa  vijiji vya Nyerere pamoja na  Muungano vilivyopo katika kata ya Mtina .

Imeandaliwa

Theresia Mallya

Afisa Habari na Mawasiliano

Halmashauri ya Tunduru.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.