• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DED Tunduru aagiza utekelezaji wa masuala ya Lishe.

Imewekwa : November 10th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Ndg. Chiza Marando, ameendesha  kikao cha kawaida cha kujadili utekelezaji wa shughuli za lishe kwa robo ya kwanza (Julai – Septemba 2023) katika Wilaya ya Tunduru Novemba 10,2023, ambapo alikuwa mwenyekiti wa kikao hicho.

Mwenyekiti wa kikao hicho amewasisitiza wakuu wa idara ambazo  zinawajibika katika kamati ya Lishe kuendelea kuonesha ushirikiano kwa kamati ya lishe ili kuongeza hali nzuri ya lishe katika wilaya ya Tunduru,na kuwataka kwenda kutekeleza makubaliano katika kila idara husika.

Ameyasisistizaa hayo  wakati wa kikao hicho ofisini kwake, ambapo pia aliziomba idara za Elimu kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na mwenendo mzuri wa Lishe wawapokuwa shuleni , kwani  lishe bora ni msingi wa maisha ya binadamu.

Pichani Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Tunduru Ndg. Chiza Marando akizungumza wakati wa kikao cha Utekelezaji wa masuala ya Lishe ofisini kwake.

“Ninyi kama wakuu wa idara zinazohusiana na masuala ya lishe hakikisheni mnatimiza wajibu wenu katika kuhakikisha lishe kwa wananchi wa wilaya ya Tunduru inakuwa Bora”

Kwa upande wake Afisa Lishe Wilaya ya Tunduru Bi. Martha Kibona aliwasilisha taarifa ya  Idara ya Afya  kwa niaba ya Mganga Mkuu wa (W) Tunduru , ambapo idara ya Afya ilitekeleza  kwa utoaji elimu mbalimbali kwa rika balehe na elimu juu ya ulishwaji wa watoto wachanga na wadogo pamoja na uongezwaji wa virutubishi katika vyakula.

Pichani (aliyesimama) Afisa Lishe wilaya ya Tunduuru Bi. Martha Kibona akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa masuala ya Lishe katika Idara ya Afya.

Afisa Afya (W) Tunduru ameendelea kuhamasisha  viwanda kuingia mkataba na SANKU kwa ajili ya kuongeza upatikanaji wa vyakula vyenye virutubishi vya kutosha.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.