• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DC MTATIRO ATAKA UFANISI UONGEZEKE KWENYE KUKASNYA MAPATO

Imewekwa : August 20th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mh. Juliusu Mtatiro amewaagiza Wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru waongeze juhudi  ya kubuni vyanzo vipya vya mapato lengo kuongeza wigo wa kukusanya mapato katika Halmashauri ya Wilaya Ya Tunduru amesema hayo wakati alipo alikwa kwenye baraza la robo ya Nne ya Mwaka fadha 2021-2022.

Dc Mtatiro aliwapongeza Waheshimiwa Wabunge, madiwani  na Wataalam kwa Ujumla wao kwa ushirikiano walio uonesha  na kuiwezesha Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru kuweza kufikia Malengo na kupata Hati safi kwa Mwaka wa Fedha 2021-2022.

Pia alitolea ufafanuzi wa swala la ugawaji wa pembejeo linavyo endelea aliseama”Zoezi la ugawaji Pembejeo kwa msimu huu wa Kilimo linaendelea vizuri kwa ushirikiano wa Kamati mbalimbali zilizo undwa kwa mujibu ya mwongozo kuanzia ngazi ya Wilaya adi ngazi ya Kijiji hivyo pale inapo tokea tatizo kamati hizo uwasiliana na kuzitatua kwa wakati”.

Kuusu Sensa Dc Mtatiro amesema “ Sensa ya mwaka huu 2022 kwa Tunduru ni Sensa ya kihistoria kwani Hamasa ilikuwa kubwa na zuri mwitikio wa Watu ni mkubwa sana  kwani Wananchi wa Tunduru hawapendi kurudia tena makosa ya Mwaka 2012 ambapo makosa hayo yanatufanya Wananchi wa Tunduru tuteseke adi sasa kwani mwaka huo idadi ya watu ambao walikubali kuesabiwa kwa Tunduru walikuwa Wachache sana tofauti na Uhalisia  hivyo ni matumaini yangu kwa Sensa hii ya 2022 Tunduru tutaongoza katika mkoa wa Ruvuma”.

Ishu ya Wafugaji Dc Mtatiro aliseam “Ofisi yake imejipanga kuendeleza Msako wa kuondoa wafugaji holela pasipo kumuonea mfugaji yeyote Yule kikubwa kila mfugaji aelekee kwenye kitalu alicho pangiwa na sio vinginevyo endapo Mfugaji akikamatwa yupo nje ya Eneo la kitalu chake atapigwa faini kila Ng’ombe elf ishirini (20,000) pesa hiyo ya adhabu itaingia Halamashauri kwa lengo ya kwenda kujenga miundombinu ya Jamii hapo lengo kubwa ni kupunguza Migogoro ya Wakulima na Wafugaji.

Kwa Upande wake Mwenyekiti  wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mh. Hairu Hemedi aliwaomba Waheshimiwa Madiwani na Wataalam kuendelea kushirikiana katika kuijenga Halmashauri ya Wilaya yaTunduru katika kuongeza mawazo ya Kubuni vyanzo vya Mapato Vipya ambapo Halmashauri ikikusanya mapato katika Vyanzo hivyo vipya itaongeza wigo wa kutoa Huduma kwa jamii ya Wanatunduru ikiwemo kujenga Zahanati na Madarasa katika sehemu mabalimbali katika Halmashauri ya Tunduru.

Mwisho, Mwenyekiti Wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mh. Hairu Hemed Mussa aliwaagiza Waheshimiwa Madiwani akiwataka wakashirikianae na Wataalam waliopo kwenye Kata zao wakahakikishe Wanasimamia ipasavyo Swala zima la kukusanya Mapato kwani kwa kupitia Mapato ya Ndani Halmashauri utoa asalimia 60 kwa lengo la kujenga miradi mabalimbali ya maendeleo ambapo miradi hiyo ujengwa uko uko Wanako ishi Waheshimiwa Madiwani.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • HARAMBEE YA UJENZI WA OFISI YA CCM TUNDURU YAKUSANYA ZAIDI YA MILIONI 106 PAMOJA NA MIFUKO 15 YA SARUJI.

    December 29, 2025
  • MHESHIMIWA SEFU HASSAN DAUDA NDIYE MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU

    December 05, 2025
  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.