• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Departiment
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maliasili na Utalii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utumishi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Information, Technology, Communication and Public Relation
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
    • Kilimo
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
      • Kata ya Mbati
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Dc Mtatiro anaendelea kutekeleza Ahadi zake.

Imewekwa : July 27th, 2022

Mh. Julius Mtatiro anaendelea kutekeleza Ahadi zake ambazo alizitoa waKati wa Ziara yake ya kikazi ambayo alitembelea kusikiliza kero za Wananchi wa Wilaya ya Tunduru yenye Tarafa 7,kata 39 na Vijiji 157

 Mkuu wa Wilaya alisema kuwa fedha na vifaa vya ujenzi anavyo toa kwa Wananchi ni sehemu tu ya Ahadi zake ambazo aliwaahaidi Wananchi wakati akiwatembelea na kukagua miradi ya maendeleo iliyo buniwa na wananchi wa vijiji na kata uhusika.

Pia aliwashukuru  sana Waheshimiwa Wabunge wa Tunduru kasikazini na Tunduru kusini kwa Ushirikiano wanao uonyesha kwa Wananchi kwani Wabunge wa Tunduru kasikazini na Kusini wamekuwa wanashiriki kikamilifu kwenye miradi ya Maendeleo inayo tekelezwa kwenye majimbo yao.

Mkuu wa Wilaya alimpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Ndugu Chiza Marando kwa kuweza kusimamia vizuri miradi ya Maendeleo inayo endelea kutekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru  kwani pale inapo onekana  kuna tatizo amekuwa wanawasilina na kuangalia namna ya kutatua tatizo linaloonekana ni kikwazo katika mradi husika.

Aidha Kwaniaba ya Mbunge wa Tunduru kasikazini Mh. Hassani Kungu akitoa salamu za pongezi kwa Mkuu wa Wilaya Katibu wa Mbunge Bw.John Floteo alisema ofisi ya Mbunge Tunduru Kasikazini inatambua mchango mkubwa wa Maendeleo unaofanywa na Dc. Mtatiro kwa Jimbo lake kikubwa amemuomba waendelee kushirikiana kwenye Shida na raha katika kuhakikisha Wananchi wa Tunduru kasikazini Wanaendelea kupata maendeleo kwa kasi kubwa   Pia akitoa salamu za Mbunge wa Tunduru Kusini Bw.Hamadi Seif alisema ofisi ya mbunge inamshukuru sana Dc kwa kutoa msaada wa mifuko ya Saruji ya Ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Mbati kwani Mh.Mbunge anatarajia kufanya ziara katika kata hiyo ya Mbati hivyo ofisi yake inampongeza kwa kutekeleza ahadi yake.

Matangazo

  • KUITWA KAZINI TUNDURU DC July 09, 2022
  • TANGAZO LA KAZI-Watendaji wa vijiji ,Madereva na Katibu Mahsusi May 20, 2022
  • Watumishi wa Umma walioma mwezi julai August 12, 2018
  • Orodha ya majina ya wanafunzi waliopangiwa kidato cha tano mwaka 2019 June 02, 2019
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Dc Mtatiro anaendelea kutekeleza Ahadi zake.

    July 27, 2022
  • DC MTATIRO AKABIDHI PIKIPIKI 64 KWA MAAFISA KILIMO TUNDURU

    June 24, 2022
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA PILI

    May 02, 2022
  • MAADHIMISHO YA SIKUKUU YA MUUNGANO

    April 27, 2022
  • Ona Zote

Video

Utekelezaji wa Ahadi
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Taarifa ya Ukimwi kuishia decemba 2017
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.