• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DC Mtatiro amkabidhi Ofisi DC Chacha

Imewekwa : March 14th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Julius S. Mtatiro amemkabidhi ofisi Mkuu wa Wilaya Tunduru Mhe. Simon K. Chacha na kumueleza changamoto ambazo anatakiwa kuzifanyia kazi.

Makabidhiano hayo yaliofanyika katika ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Machi 14, 2024, ambapo yalihudhuriwa na wajumbe wa kamati ya Usalama  pamoja na viongozi mbalimbali kutoka Wilaya ya Tunduru.

Mhe. Mtatiro aliwaomba Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya, Watumishi wa Halmashauri ya Tunduru kumpa ushirikiano Mkuu Wilaya ya Tunduru Mhe. Chacha.  Akieleza kuwa mafaniko aliyoyapata kwa kipindi alichoongoza Wilaya ya Tunduru ni matunda ya ushirikiano waliompatia, hivyo ni muhimu wakaendeleza ushirikiano huo kwa Mkuu huyo wa Wilaya.

"kwa hakika, nipende kuwashukuru kwa ushirikiano mulionesha katika kipindi  chote nilichokuwa nanyi, ombi langu kwenu muendeleze ushirikiano huu kwa Mhe. Simoni Chacha, kwani maendeleo katika Wilaya ya Tunduru yataletwa kutokana na ushirikiano Miongoni mwetu”.Alisema Mhe. Mtatiro.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Simon Kemori Chacha, amempongeza Mkuu wa Wilaya aliyetangulia na kusema atayaendeleza yale ambayo yaliachwa na Mkuu wa Wilaya  huyo.

 Mhe. Chacha mara baada ya kukabidhiwa ofisi, ameahidi kuendeleza miradi iliyoachwa na mtangulizi wake na kusisitiza ushirikiano, kwani Ofisi yake iko wazi kupokea ushauri wenye lengo la kujenga na kuiletea maendeleo zaidi Wilaya ya Tunduru.

“Nami natamani kufanya  kazi kama vile mulivyokuwa mnafanya na kiongozi wetu alietangulia, pale ulipoishia nami nitaanzia hapo, Najua Bila ushirikiano hakuna maendeleo yatayoonekana”.Alisema Mhe. Chacha.

Kufuatia Uteuzi na mabadiliko ya viongozi  mbalimbali ikiwemo wakuu wa Wilaya Mhe. Simon Kemori Chacha Likuwa Mkuu wa Wilaya ya Sikonge, ambapo kwa sasa amehamishiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, na Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Julius S. Mtatiro amehamishiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • SULUHU YA KUDUMU Maji Tunduru Yapatikana: Mkataba Wa Bilioni 3.2 Wasainiwa

    May 07, 2025
  • BODI Ya Wakurugenzi wa Mamlaka Ya Maji Na Usafi Wa Mazingira Tunduru (TUUWASA) Yazinduliwa

    May 07, 2025
  • TUNDURU Yajizatiti Kukabiliana na Ugonjwa wa Mpox.

    March 27, 2025
  • TUNDURU Yaungana katika Dua na Iftar

    March 24, 2025
  • Ona Zote

Video

WANANCHI WAENDELEA KUPATIWA MAFUNZO KWA VITENDO ILI KUTATUA MIGONGANO YA BINADAMU NA WANYAPORI.
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.