• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DC MTATIRO AKIWA ZIARA YA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KATA YA CHIWANA NA MBESA

Imewekwa : September 27th, 2020

Mkuu wa wilaya ya Tunduru Bw. Julius Mtatiro  akiwa ziara kata ya Chiwana,kijiji cha Mkandu ambapo wananchi walimweleza  Tatizo la mipaka kati ya kijiji cha mkandu na kijiji cha Chiwana pia swali jingine lilihusu kuusu upungufu wa nguzo za umeme wa rea.

Dc Julius Mtatiro alianza kujibu swali la utata wa mipaka kati ya kijiji cha Mkandu na Chiwana alisema “ninaunda kamati ambayo itaongozwa na Afisa tarafa na wajumbe wengine ni mtendaji kata ,watendaji wa vijiji ,wenyeviti wa vijiji na mratibu elimu kata ya Chiwana”.

Aidha Mkuu wa wilaya Bw. Julius Mtatiro amewapatia siku 30 kamati hiyo aliyoiunda ambapo Mkuu wa wilaya amesisitiza kamati hiyo impatie majibu ndani ya siku 30 uku wakapitie dokumenti  zote za vijiji hivyo ili kupata ushaidi uliojitosheleza.

Pia Mkuu wa wilaya ya Tunduru Bw.Julius Mtatiro alijibu swali la pili linalo husu upungufu wa nguzo za umeme alisema “lengo la serikali ya awamu ya Tano ni kuhakikisha vijiji vyote 154 vilivyopo katika wilaya ya Tunduru vinafikiwa na huduma ya umeme wa Rea hivyo kwa kijiji cha Mkandu nguzo tayari zipo barabarani   zinakuja hivyo muda wowote kuanzia sasa nguzo hizo zitawasili kijiji cha mkandu ili wananchi waunganishiwe umeme kwa bei ya Tshs 27000=Tu”.

Aidha Mkuu wa wilaya ya Tunduru Bw Julius Mtatiro  ameaidi kutoa mifuko 25 ya saruji ikiwa ni juhudi ya kuunga mkono jitiada za wananchi wa kijiji cha Mkandu katika ujenzi wa zahanati ya kijiji cha mkandu hivyo mkuu wa wilaya amewataka wananchi wa kijiji cha mkandu waendelee kuwa wabunifu katika kubuni miradi ya maendeleo katika kijiji chao.

Pia Mkuu wa wilaya alizungumzia kuusu wafugaji  wenye makundi  makubwa ya wanyama aina ya ng’ombe  alisema “Wafugaji wote wenye makundi makubwa ambao wapo hapa kata ya chiwana na wanaishi na mifugo yao kikubwa watambue kuwa hapa chiwana hakuna kitaru cha wafugaji hivyo opresheni itavyo kuja lazima tutawaondoa hivyo ni vizuri warudi katiaka  vitaru vyao ambavyo wamepangiwa “.

Aidha Mkuu wa wilaya amewashukuru sana wananchi wa kijiji cha mkandu kwa mapokezi mazuri na upendo wa dhati walio uonyesha kwake amewahidi  kuwa atarudi  tena  kijiji  mkandu mwezi ujao kupeleka mifuko 25 ya cement ambayo ameaidi na kuangalia hari ya ujenzi wa zahanati hiyo ya kijiji cha mkandu.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.