• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DC MASANJA atoa wito wa kudumisha amani na kulinda miundombinu.

Imewekwa : July 28th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mheshimiwa Denis Masanja, amewataka wananchikuendelea kushirikiana na serikali ili kudumisha amani ya nchi. Akisisitizaumuhimu wa amani kuelekea kampeni za Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 29Oktoba 2025, kama ilivyotangazwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, MheshimiwaMasanja, ametoa rai kuwa asitokee yoyote kuwashawishi kujihusisha na vitendoviovu vitakavyofanya kuondoka kwa amani katika nchi yetu. Kauli yake inalengakuhamasisha wananchi kuwa makini na kuepuka vitendo vyovyote vinavyowezakuvuruga utulivu wa taifa, hasa katika kipindi hiki muhimu cha kuelekeauchaguzi.

Akizungumza katika ziara yake katika Tarafa ya Nampungu, Mheshimiwa Masanjaaliendelea kusisitiza umuhimu wa wananchi kuitunza miundombinu yoteinayotekelezwa katika maeneo yao. Alisisitiza kuwa, waendelee kuitunzamiundombinu yote inayotekelezwa katika maeneo yote ili iweze kuwanufaisha sasana hata vizazi vijavyo, pia, kuhakikisha kuwa miradi ya maendeleo inayoanzishwana serikali inatunzwa vizuri na inanufaisha jamii kwa muda mrefu.

Aidha, Mkuu wa Wilaya aliwataka wananchi kuheshimu mpango wa matumizi boraya ardhi. Alifafanua kuwa maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya shughuli za kilimohayapaswi kutumika kwa ajili ya shughuli za ufugaji, vivyo hivyo na maeneoyaliyotengwa kwa ajili ya ufugaji. Alitoa maelekezo kwa wafugaji wote kufikakatika ofisi za kijiji, kata, au ofisi za kilimo zilizopo katika Halmashauri yaWilaya ya Tunduru ili kupatiwa maelekezo sahihi kuhusu maeneo yaliyotengwa kwaajili ya ufugaji.

Kuhusiana na suala la ufugaji, Mheshimiwa Masanja ambalo limekua ni moja yaajenda yake kuu katika ziara yake, ameendelea kuwataka wafugaji wote kufikakatika ofisi za kijiji, kata au katika ofisi za kilimo zilizopo katikaHalmashauri ya Wilaya ya Tunduru. Hatua hii inalenga kuratibu shughuli zaufugaji na kuhakikisha wafugaji wanatumia maeneo yaliyotengwa kwa ajili yao,hivyo kuepusha uvamizi wa maeneo ya kilimo.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.