• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

CHAMA cha waandishi wa habari za mazingira tanzania (JET) kujikita katika utatuzi wa migongano kati ya shughuli za kibinadamu na Wanyama pori waharibifu hususani Tembo wilayani Tunduru.

Imewekwa : July 2nd, 2024

Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) chini ya Wizara ya Maliasili naUtalii wanaendelea kujikita juu ya kutataua Migongano ya Shughuri za kibinadamu na Wanyama Pori waaribifu hususani Tembo.

JET ilikita kambi katika Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma kwa ajili ya kuweza kuwajengea uwezo waandishi wa habari wa mkoa wa Ruvuma na Lindi juu ya kuweza kupambanua Habari za mgongano baina ya wanyama Pori na Shughuri za Kibinadamu.

Katika Mafunzo hayo ambayo walihudhuria wawakilishi kutoka Shirika Ujerumani GIZ walielezea kuwa kuna jitihada mbalimbali wamezifanya kwaajili ya kuweza kunusuru maisha na mali za wananchi katika maeno mbali mbali katika vijiji vilivyo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.

Chama hicho chini ya Mkurugenzi Mtendaji wake mkuu Bw.John Chikomo kilipata Fursa ya kutembelea baadhi ya maeneo ambayo Kuna migongano na miingiliano baina ya shughuri za kibinadamu na wanyama pori waaribifu na kupata nafasi ya kusikiliza changamoto zinazo jitokeza katika maeneo yao kutoka katika uongozi wa Serikali ya kijiji na wananchi wameneo husika kama vile Kijiji cha, Machemba,Mbati,Mbesa,na Ngapa.

Aidha, JET kilitoa pongezi dhidi ya Shirika la GIZ kwa mbinu mbalimbali walizo zifanya kwa wananchi kuweza kuwadhibiti wanyamapori Tembo kwa kuzungushia uzio wa pilipili katika mashamba ya pamoja ya vijiji,Kuwapeleka mafunzo Vijana wa VGS Village Game Scout nakuweza kusaidia katika maeneo yao yanayo wazunguka.

Pia, Uongozi wa JET pamoja na waandishi wa habari kutoka katika vyanzo mbalimbali walipata fursa ya kukutana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Ndugu Bosco Oja Mwingira na aliweza kutoa ufafanuzi juu ya jitihada zinazofanywa na Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru dhidi ya kutatua migongano hiyo.

Imetolewa na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru,

Orpa Kijanda,

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.