• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

CARBON TANZANIA KARIBU TUNDURU

Imewekwa : February 8th, 2022

Kampuni ya Carbon Tanzania imedhamiria kuja kuwekeza Halmashauri ya Wilaya Tunduru  kampuni hiyo uwekeza kwa kuifadhi mazingira na sio kuharibu mazingira yanayo tuzunguka  hayo yamesemwa na Bw.Mack  Bakari ambae ni Mkurugenzi Wa Carbon Tanzania.  

Amesema lengo la kufika Tunduru na Kuonana na Uongozi wa Wilaya lengo kupata Baraka za viongozi hao wa wilaya pia malengo ya Kampuni ni kuwekeza  katika kuvuna hewa ya carbon inayopatikana kwenyenye miti ya asili.

Aidha baada ya kuvuna hewa hiyo itauzwa kwenye soko la kimataifa kasha gawio litarudishw kwenye vijiji husika vilivyo tunza msitu nikama faida ya sehemu ya kutunza  misitu hiyo aidha amewataka wananchi wa Tunduru waupokee mradi huo ni mzuri na unahamasisha  Wananchi Kutunza Mazingira ili yatutunze.

Kwa Upande wa Dc Mtatiro aliwomba Waheshimiwa Madiwani wakawe mabalozi wazuri kwa Wananchi kuhusu mradi huo wa Kaboni Tanzania  maana unakuja kubadilisha maisha ya Wananchi wetu zaidi uchumi wa vijiji ambavyo vina misitu mikubwa lakini hawajui watumiaje misitu yao.

Dc Mtatiro alisema kampuni ya Carbon Tanzania yenyewe haikati miti bali ufanya kazi yake ya kuhamasisha Wananchi wa kijijihusika watunze Misitu na mazingira yanayo wazunguka kwa ujumla lengo mwisho wa mwaka kampuni hiyo ya Carbon Tanzania itakuja na vifaa vyake vya kisasa kupima kiwango cha hewa ya Carbon iliyopo katika msitu huo kisha uchukua takwimu hiyo na kuipeleka katika soko la kimataifa na kuiuza kisha kiwango cha pesa kitakacho patikana gawio 60% litarudishwa kijijini kwajili ya Wananchi wahamue nini fanye katika kijiji chao.

Pia Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya  Tunduru Bw. Chiza Marando aliwaomba wawekezaji  wa Carbon Tanzania katika 10% ya Halmashauri waongeze kidogo adi 20% lengo kuiwezesha halmashauri  iweze kuhudumia Wananchi kwa wakati kwa upande wake Bw. Bakari Mkurugenzi wa Carbon Tanzania alikubali ombi hilo alisema kampuni  yake ya Carbon Tanzania imelipokea ombi hilo na litafanyiwa kazi wakati ukifika alisema.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.